Inawezekana kabisa wanayachoma wenyewe ili kuzidisha chuki baina ya waislam na Serikali yenu na vile wapate fidia kutokana na uchomaji huo.
janja ya nyani ...
[FONT=century
gothic]Inawezekana kabisa wanayachoma wenyewe ili kuzidisha chuki baina
ya waislam na Serikali yenu na vile wapate fidia kutokana na uchomaji
huo.
janja ya nyani ...[/FONT]
Hakuna mkristo mwenye roho ya kimaskini kiasi cha kutenda hivyo!...Fahamu hilo.
Nani aliyewaloga nyinyi watu?Kama ni kweli basi kuna jambo kama sio kuwa mnayachoma wenyewe ili kudhoofisha serikali ya Kikwete ionekane dhaifu au kupeleka mnayoyataka imekula kwenu Fumbo mfumbie mjinga mwerevu hung'amua. Haiwezekani watu wachome makanisa mbagala then ikisha wakachome Kigoma halafu sasa Yombo. I smell something fishing is going on. Time will tell. Ikiwa kama kweli ndugu zetu mna lengo hilo basi mnachochea moto mkubwa time will.
Ndo uwezo wako ulipofika, huwajui wakristu...........Inawezekana kabisa wanayachoma wenyewe ili kuzidisha chuki baina ya waislam na Serikali yenu na vile wapate fidia kutokana na uchomaji huo. janja ya nyani ...
laiti kama wakristo ndio wangechoma misikiti hata miwili tu ungeona namna waislamu mambo ambayo wangefanya.
kwa kweli wakristo ni wavumilivu sana. ila ipo siku huu uvumilivu utakwisha. itakapofika hapo ndio utajua nini maana ya udini.