Watz tumechagua maisha haya?ni kweli ubaguzi umefikia hatua ya kuchomeana makanisa?msingi wa haya ni nini?nani ananufaika na hili?serikali itimize wajibu wake wa kulinda wananchi wake na nadhani wanaofanya upuuzi huu siamini kama wanatumwa na uislam bali ni chuki binafsi na uwezo mdogo wa tafakuri ya mambo,duniani dini hueneza amani na upendo,kwani mtu afikirie kuchoma nyumba ya ibada ya mtu mwingine,kama wanahitilafiana kwanini wasipekane mahakamani,nchi inaongozwa kwa sheria,kanuni,taratibu na maadili,si kila mtu linalomjia kichwani basi afanye,hawa wanaohusika na uhuni huu wakamatwe na washitakiwe kwa mujibu wa sheria kali zichukuliwe si kwa kutizama dini zao bali kwa kukiuka sheria,hatuwezi kuongozwa kwa hisia hata kidogo!