omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,325
- 2,498
Siku za karibuni kumekuwepo na kitu amabcho kinaonekana ni janga lingine la kitaifa nacho ni Watanzania (na wakaazi wengine wa dunia) kusitisha matumizi ya akili katika masuala ya msingi.
Ni juma moja tu lililopita makanisa yamechomwa moto ffu kuuawa, nguruwe kuuawa na mengine mengi.
Sasa kwa vile kila mmoja anaonekana kupigana kwa jina la Mungu, naomba wanajamvi tuelezane kati ya hawa ni nani Mungu wa kweli/wako (unayemwamini)????
....
...
tueleze na wa kwako kama hayupo kati ya hawa.
Nawasilisha
Ni juma moja tu lililopita makanisa yamechomwa moto ffu kuuawa, nguruwe kuuawa na mengine mengi.
Sasa kwa vile kila mmoja anaonekana kupigana kwa jina la Mungu, naomba wanajamvi tuelezane kati ya hawa ni nani Mungu wa kweli/wako (unayemwamini)????
- Allah
- Mungu
- Katonda
- Nzambe
- Rugaba
- YEHOVA
- Nyasae
- Ruoth
- ...
- ....
- ...
- ...
- ...
....
...
tueleze na wa kwako kama hayupo kati ya hawa.
Nawasilisha