zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Ushindi wa Wa Chadema Arumeru Mashariki ni ishara tosha ya kuirudisha nchi hii mikononi mwa wateule na wenye uchungu na nchi.
Uchaguzi wa Arumeru ilikuwa ni Vita kati ya Tajiri na Maskini,lakini Mungu ni Mungu,Na mipango yake si Mipango ya binadamu.
Uchaguzi huo pia ni ishara tosha ya kuwa kifo cha Wanyonyaji, wafilisi wa nchi hii kuangamia,Watanzania,Wamechoka na wana hali ngumu lakini Mungu atatupigania.
Hongera chadema ,hongera NASSARI.
Uchaguzi wa Arumeru ilikuwa ni Vita kati ya Tajiri na Maskini,lakini Mungu ni Mungu,Na mipango yake si Mipango ya binadamu.
Uchaguzi huo pia ni ishara tosha ya kuwa kifo cha Wanyonyaji, wafilisi wa nchi hii kuangamia,Watanzania,Wamechoka na wana hali ngumu lakini Mungu atatupigania.
Hongera chadema ,hongera NASSARI.