moniccca
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 2,383
- 3,285
- Thread starter
- #81
Kwa hiyo unatetea maovu?Hata kama, bado ni mapema mnoo.Lakin kusema ukweli sisi wanaume kuchepuka hakuepukiki,tatizo nyie wenzetu ukweli huo hamuutaki.kinachotakiwa asifanye waziwazi lakin pia na wewe usitengeneze mazingira ya kumfumania,usikague simu na uciwe mtu wa kuhesabu michepuka ya mumeo.Wakati mwingine tunamuoa mtu siyo kwamba unampenda ,hapana ni maisha tuuu.Wootee tujue Mungu anatuona.