Hodi tena kwa mara nyingine wapendwa mimi ni mama wa mtoto mmoja ana 10 yrs na mimi nina 42 ninahitaji mtu wa kuwa nae kama mume awe nae labda ana mtoto angalao mmoja ili tuanzishe familia awe hajaoa. Mimi ni mkristo mlutheri na, nimechoka kukaa peke yangu upweke umenichosha. Kwa aliye tayari anipm ili tuweze kuwasiliana zaidi.
Please nipo serious ila naomba kejeli, maneno ya kashfa hayahitajiki
Please nipo serious ila naomba kejeli, maneno ya kashfa hayahitajiki