Unamshika mkono kwa upendo na kumshukuru kwa kazi nzuri aliyoifanya! Kisha unamfungulia mlango na kumsindikiza! Mamie wala humgasi kama hakikutokea kitu! Nakwambia atajinywea sumu siku ya pili!
Wewe ndugu acha kutuzuga inaelekea hujaoa!
Unamshika mkono kwa upendo na kumshukuru kwa kazi nzuri aliyoifanya! Kisha unamfungulia mlango na kumsindikiza! Mamie wala humgasi kama hakikutokea kitu! Nakwambia atajinywea sumu siku ya pili!
Wewe ndugu acha kutuzuga inaelekea hujaoa!
Asilimia kubwa ya wanaume wakifumunia HUFA kwa presha au hata au angalau kuzimia kwanza. Na ndio maana wengi hawaaminigi wakisikia wake zao wanatoka nje ya ndoa.
View attachment 10097View attachment 10096View attachment 10095
umemuona kijan ahuyo kamwagiwa sulphuric acid....ndokawa hivo jamani tujiepushe........
Awais Akram was left severely disfigured after he was targeted in revenge for his liaison with businesswoman Sadia Khatoon, whom he met on Facebook.
When her husband and family found out, they got Ms Khatoon, 24, to lure the victim out of his flat, where concentrated sulphuric acid was poured over his head.
Mr Akram, who was left with 47 per cent burns, said he was in so much pain at the time that he wanted to die.
'My whole body started to burn,' he said.
He said: 'When I started feeling this, I did not know how to understand it.
'At that point I just felt that I would be dead. Death was, I felt, a better solution than to be burning like this.'
One witness said he looked like a 'cross between a zombie from a horror movie and the Incredible Hulk' after the attack last July.
Ms Khatoon and her husband Shakeel Abassi, 32, later disappeared in Pakistan and detectives said they now feared for her safety.
Her brother Mohammed Vakas admitted pouring the acid on Mr Akram, during a taped police van conversation with cousin and fellow conspirator Mohammed Adeel.
huyu kaungua au ni tattoo hizi? Hii habari inahitaji kuthibitishwa zaidi.
Hakuna penzi tamu kama la kuibia , dah lina raha yake achilia maumivu utakayo pata ukijiwekea mabaunsa unakula kiulaini..
Safi sana; kwa mbali naweza kuhisi wapi ni asili yenu!
Moyo wa nani lakini?
Hakuna penzi tamu kama la kuibia , dah lina raha yake achilia maumivu utakayo pata ukijiwekea mabaunsa unakula kiulaini..
Naunga mkono hoja! Hakuna penzi tamu kama la kuibia. Kwanza unajiona bingwa kweli kweli. Maana umemega mke wa mtu...shiiit.....ila ndio hivyo inabidi uwe sneaky kweli kweli la sivyo ukibambwa unaweza kujuta kuzaliwa
mwenye kosa hapo ni mke utatokaje nje ikiwa unajua umeolewa huyo kaka kaonewa
Kazi kweliNaunga mkono hoja! Hakuna penzi tamu kama la kuibia. Kwanza unajiona bingwa kweli kweli. Maana umemega mke wa mtu...shiiit.....ila ndio hivyo inabidi uwe sneaky kweli kweli la sivyo ukibambwa unaweza kujuta kuzaliwa