Mume/mke wa mtu sumu jamani....

Unamshika mkono kwa upendo na kumshukuru kwa kazi nzuri aliyoifanya! Kisha unamfungulia mlango na kumsindikiza! Mamie wala humgasi kama hakikutokea kitu! Nakwambia atajinywea sumu siku ya pili!

Wewe ndugu acha kutuzuga inaelekea hujaoa!
 


Na kweli ni mke/mume wa mtu ni sumu. Hebu ona hawa jinsi wanavyopendana na kujaliana, halafu wewe uende ukaingilie penzi lao na ndoa yako! Yanaweza kukuta zaidi ya huyo dogo aliyemwagiwa tindikali.
 
Asilimia kubwa ya wanaume wakifumunia HUFA kwa presha au hata au angalau kuzimia kwanza. Na ndio maana wengi hawaaminigi wakisikia wake zao wanatoka nje ya ndoa.
 
Asilimia kubwa ya wanaume wakifumunia HUFA kwa presha au hata au angalau kuzimia kwanza. Na ndio maana wengi hawaaminigi wakisikia wake zao wanatoka nje ya ndoa.


hivi huwa amuamini kwamba ndio ulichokiona au? mana sie tuliwafumania tunakuwa ngangari, wengine ndio vurumai, wengine ndio ujiondokea kabisa eneo la tukio bila kuhoji na bado mna nguvu za kuja kuomba msamaha cjui kitu gani mweh.
 
Huu ni uwongo mtakatifu, hauwezi kuungua kiasi hiki halafu ukasimama/ukawa hai. Ni lazima ufe tu.
 
View attachment 10097View attachment 10096View attachment 10095



umemuona kijan ahuyo kamwagiwa sulphuric acid....ndokawa hivo jamani tujiepushe........


Awais Akram was left severely disfigured after he was targeted in revenge for his liaison with businesswoman Sadia Khatoon, whom he met on Facebook.
When her husband and family found out, they got Ms Khatoon, 24, to lure the victim out of his flat, where concentrated sulphuric acid was poured over his head.
Mr Akram, who was left with 47 per cent burns, said he was in so much pain at the time that he wanted to die.
'My whole body started to burn,' he said.
He said: 'When I started feeling this, I did not know how to understand it.
'At that point I just felt that I would be dead. Death was, I felt, a better solution than to be burning like this.'
One witness said he looked like a 'cross between a zombie from a horror movie and the Incredible Hulk' after the attack last July.
Ms Khatoon and her husband Shakeel Abassi, 32, later disappeared in Pakistan and detectives said they now feared for her safety.
Her brother Mohammed Vakas admitted pouring the acid on Mr Akram, during a taped police van conversation with cousin and fellow conspirator Mohammed Adeel.

huyu kaungua au ni tattoo hizi? hii habari inahitaji kuthibitishwa zaidi.
 
huyu kaungua au ni tattoo hizi? Hii habari inahitaji kuthibitishwa zaidi.

hehehehe duh ndungu yangu hiyo nimeitoa kwenye blog ya pasion 4 fashion anawek amikasa ya ukwelei every day inayotoekea mahakamani.....
 
Hakuna penzi tamu kama la kuibia , dah lina raha yake achilia maumivu utakayo pata ukijiwekea mabaunsa unakula kiulaini..
 
Hakuna penzi tamu kama la kuibia , dah lina raha yake achilia maumivu utakayo pata ukijiwekea mabaunsa unakula kiulaini..

Naunga mkono hoja! Hakuna penzi tamu kama la kuibia. Kwanza unajiona bingwa kweli kweli. Maana umemega mke wa mtu...shiiit.....ila ndio hivyo inabidi uwe sneaky kweli kweli la sivyo ukibambwa unaweza kujuta kuzaliwa
 
Mtumeeeeeeeee,ndio jamaa kafanywa hivi.duu.kweli mke/mume wa mtu ni sumu hasa lakini kwa wakati huo huo ni watamu acha tu.
 
Naunga mkono hoja! Hakuna penzi tamu kama la kuibia. Kwanza unajiona bingwa kweli kweli. Maana umemega mke wa mtu...shiiit.....ila ndio hivyo inabidi uwe sneaky kweli kweli la sivyo ukibambwa unaweza kujuta kuzaliwa

Na siku jamaa kaikutazama usoni hata kwa kutojua unazimia ghafla; kama sio kujikojolea kabisa! maisha gani hayo unakuwa ni mtu aliyesomewa fatwa
 
mwenye kosa hapo ni mke utatokaje nje ikiwa unajua umeolewa huyo kaka kaonewa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom