Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,526
Umenichekesha. Bora kushindanisha zawadi kwani ni faida kwa wanandoa.
Kuna zile za nyimbo za mipasho harusini. Oooh walisema amuoi mbona kamuo. Tena vidole wanawanyooshea wakwe na mawifi; si balaa ni nini?
Badala ya kuweka nyimbo za furaha na pongezi wanaanza mipasho. Oooh kwetu alikuwa anakula nyama msimpe kauzu.
hiyo ndio inaitwa culture... mbaya kwako wenzio wanaienzi.