- Thread starter
- #21
Kawaida ni kua you can not choose mwenzio aishi maisha gani.... But ukweli unabaki ulooweka hapa ni kweli kabisa kua haipendeza... na thou waweza ona kama wanamsimanga mgeni wao... IMO hio inatoa picha the type of people they are... Hicho kibao says Loads kuhusu Watu wenyewe... mahala wanaishi... attitude towards watu wa nje... Na lack of busara ya kuweza tafakari kua hapo wageni ni aina nyingi na wengine hawastahili kabisa waone huo ujumbe.... as much as they mean it...
u're right AshaDii, na ndio maana sikukiondoa kile kibao kv wame-opt kuishi hivyo!!! Nilichofanya ni kumshauri kama rafiki on how could other pple perceive on such paintings! I still believe, it ain't right at all at least basing on my thinking ability!