Mume anapo-support ujinga wa mkewe!!!!

Kawaida ni kua you can not choose mwenzio aishi maisha gani.... But ukweli unabaki ulooweka hapa ni kweli kabisa kua haipendeza... na thou waweza ona kama wanamsimanga mgeni wao... IMO hio inatoa picha the type of people they are... Hicho kibao says Loads kuhusu Watu wenyewe... mahala wanaishi... attitude towards watu wa nje... Na lack of busara ya kuweza tafakari kua hapo wageni ni aina nyingi na wengine hawastahili kabisa waone huo ujumbe.... as much as they mean it...

u're right AshaDii, na ndio maana sikukiondoa kile kibao kv wame-opt kuishi hivyo!!! Nilichofanya ni kumshauri kama rafiki on how could other pple perceive on such paintings! I still believe, it ain't right at all at least basing on my thinking ability!
 
Tena ww ndo umelengwa maana umeanza kuongea na mshkaji wako mambo ya kibao badala ya kuongea ishu iliyokupeleka ndo umbea huo wenyewe unaokusudiwa kwenye kibao.
Wao wenye nyumba ndo wanajua kwann wamekiweka kutokana na maswahibu yanayowakuta, we yanakuhusu nn maisha ya wa2-MIND UR BUSSINESS!
 
Tena ww ndo umelengwa maana umeanza kuongea na mshkaji wako mambo ya kibao badala ya kuongea ishu iliyokupeleka ndo umbea huo wenyewe unaokusudiwa kwenye kibao.
Wao wenye nyumba ndo wanajua kwann wamekiweka kutokana na maswahibu yanayowakuta, we yanakuhusu nn maisha ya wa2-MIND UR BUSSINESS!

"Sikiliza zepipo, unajua ktk.................!!!!" am sorry mkuu, i was abt 2 tell u something, lakini ukiona nimeshia njiani basi fahamu kwamba nimekudharau, yaani u don' deserve my explaination!
 
AT least kwa hapa TZ, hususani ukanda wa pwani, wanawake ni watu wanaopenda sana mipasho na maongezi ya mafumbo!!! Bila shaka ni wahitimu wazuri wa baadhi ya tanzu za fasihi simulizi. Last week, nilimtembelea rafiki yangu mmoja ambae mwenzangu ameoa (mie bado hivyo natoa offer kwa mwana-jf single wa kike apendae kuwa na mume!). Ile kuingia tu sebuleni, nikakutana na kibao kilichoandikwa "UKIJA UJE NA YAKO, UMBEYA NYUMBANI KWAKO!" Kwa bahati shemeji yangu (mke wa mshikaji) alikuwa hayupo kwa muda huo hivyo tukapata nafasi ya kutosha kujadili masuala ya kimaisha. Baada ya mimi kuona kibao hicho, nikamuuliza mshikaji kwanini ameweka hicho kibao. Akajibu, aliyeweka si yeye bali ni mke wake! Nikamuuliza kawalenga akina nani; akajibu "sijui yeye mwenyewe!" Baada ya majadiliano ya hapa na pale, nikamshauri akiondoe kibao hicho kv anafanya embrassement kwa wageni wake! Jamaa akadai kv alikuwa ni mke wake basi asingeweza kukiondoa yeye kv mke wake na yeye ana haki na hiyo nyumba! kimsingi, nilishindwa kabisa kumshawishi kukiondoa kibao hicho! Na kama ningekuwa nina mazoea ya kwenda kwenda pale nyumbani au kukutana na huyu rafiki yangu basi bila shaka ningejisikia vibaya sana kuhusu ujumbe ule! Sasa swali ninalojiuliza na kuwauliza wadau, je; ni muhimu kuwa na vibao vyenye ujumbe wa aina hii kwenye nyumba zetu?! Hivi hatuoni tunaanza kumsuta mtu ambae hata kuongea hajaongea tayari unamkaribisha kwa masimamngo?! Wengine unakuta wanaweka vibao vyenye ujumbe aina hii kwenye sehemu zao za biashara kama vile "HAPA CASH TU, KUKOPA HUKO HUKO!" HIVI ni busara kuwasemanga watu ambao hata mdomo hawajafungua?!

NAWASILISHA!!!

Hiyo inaitwa "power of a woman" utaelewa vizuri inavyofanya kazi ukishaoa.
 
ni kweli hayo ndio maisha yao,lakini kwa maneno yaliyowekwa kama hayafai.mfano ningeenda kwa sister wangu,na kuona huo ujumbe,nisingekaa kimya,ningemuuliza tu na kumuelewesha.bila shaka urafiki wenu umeshibana,ndio maana umeyauliza.kwa jibu ulilipewa,siku nyengine usiyaulize tena.maana ndoa zina formular nyingi,mengine wewe utayaona kinyume,lakini kwa wao ni sawa tu
 
Mstaarabu hawezi kuweka maneno hayo lkn na mstaarabu hawezi kwenda nyumbani kwa mtu akataka kumpangia cha kufanya vile vile
 
Nakubaliana na wewe Ashadii. Labda ni shule ndogo kama alivyosema mchangiaji mmoja hapo. Na kwa kuongezea ni kuto kujiamini.

Nimeshaona nyumba za watu wamebandika eti "am the boss in this house and my wife has the right to say so" Upuuzi mtupu. Nani kakuuliza kama wewe ni bosi au kidampa? Watu wamekaa kiugomvi ugomvi tuuuu. Nani asojua kuwa wewe ni bosi ndani kwako mpaka uweke tangazo. Mimi watu kama hao wala siwaulizi ila nawaweka kwenye kundi la watu ninaowadharau.

Kweli watu hawajuhi kuishi na watu; wanakaribisha ushari na unaona dalili mpaka masebuleni kwao.
Kawaida ni kua you can not choose mwenzio aishi maisha gani.... But ukweli unabaki ulooweka hapa ni kweli kabisa kua haipendeza... na thou waweza ona kama wanamsimanga mgeni wao... IMO hio inatoa picha the type of people they are... Hicho kibao says Loads kuhusu Watu wenyewe... mahala wanaishi... attitude towards watu wa nje... Na lack of busara ya kuweza tafakari kua hapo wageni ni aina nyingi na wengine hawastahili kabisa waone huo ujumbe.... as much as they mean it...
 
Mstaarabu hawezi kuweka maneno hayo lkn na mstaarabu hawezi kwenda nyumbani kwa mtu akataka kumpangia cha kufanya vile vile

Sikumwambia akitoe hicho kibao, bali nilimshauri akitoe!!! Bila shaka hapo utaona kuna tofauti kubwa kati ya kumwambia afanye kile ninachokiamini na kumshauri afanye kile ninachoamini kipo sahihi! Akiwa kama mshikaji wangu, nina haki na wajibu wa kumshauri ingawaje sina haki wala wajibu wa kumwambia/au kumpangia afanye jambo lolote! By the way, jaribuni kumwelewa mtu, huyo niliyemzungumzia ni my friend, na sio mtu mtu tu, kama ulivyomwita (ingawaje wapo watakaouliza kwani yeye sio mtu)!!! Ni mtu ambae sichelei kumwambia kitu chchote hata kama hawezi kukubaliana na mimi; na huo ndivyo urafiki ulivyo!
 
Unajua humu tunapeana ushauri na ujumbe nilopata kupitia hii thread ni kuwa tuwe makini na vibao tunavyoweka majumbani kwetu. Unaweza kuta huyo mwanamke kawawekea mawifi na wakwe zake; lakini hata marafiki wanaweza wasitie mguu hapo nyumbani kwenu kama ni watu wa vibao vya mafumbo.

Hata maneno tunayoongea kwenye mazungumzo yanaweza kufukuza wageni; kuna familia zinageuka kuwa ni gumzo na watu wanapeana tahadhari ya ku stay away from them kwa sababu ya midomo michafu na ya kejeli ya mmoja au wanandoa wote. Binadamu wa kawaida hawezi kufurahia kutengwa; kama tunapenda kuwa na ndugu na marafiki tuwe makini na mabango na maneno tunayozungumza.
 
Ushapata pm ngapi hadi sasa, maana kiaina uliwakilisha search.
!

hahahahahaaa! Nazichambua kabla sijawapangia tarehe ya interview!!! Kama una sister bado analeta gozi gozi home na skonga imemshinda mwambie alete application yake na yeye, deadline 6 hours after thread's posting time!
 
Heheh mm nilienda nyumba moja ina kibao kizuuuri kimeandikwa ' All because two people fell in love' nilikitamani haswa...

Na je siku ukija kwangu ukakikuta cha "umbeya wako huko huko?!"
 
ni kweli hayo ndio maisha yao,lakini kwa maneno yaliyowekwa kama hayafai.mfano ningeenda kwa sister wangu,na kuona huo ujumbe,nisingekaa kimya,ningemuuliza tu na kumuelewesha.bila shaka urafiki wenu umeshibana,ndio maana umeyauliza.kwa jibu ulilipewa,siku nyengine usiyaulize tena.maana ndoa zina formular nyingi,mengine wewe utayaona kinyume,lakini kwa wao ni sawa tu
Ndo maana yake kisukari, na ndio maana ninaamini nina wajibu wa kumshauri kile ninachohisi na kuamini ni right hata kama sitakuwa right!
 
Unajua humu tunapeana ushauri na ujumbe nilopata kupitia hii thread ni kuwa tuwe makini na vibao tunavyoweka majumbani kwetu. Unaweza kuta huyo mwanamke kawawekea mawifi na wakwe zake; lakini hata marafiki wanaweza wasitie mguu hapo nyumbani kwenu kama ni watu wa vibao vya mafumbo.

Hata maneno tunayoongea kwenye mazungumzo yanaweza kufukuza wageni; kuna familia zinageuka kuwa ni gumzo na watu wanapeana tahadhari ya ku stay away from them kwa sababu ya midomo michafu na ya kejeli ya mmoja au wanandoa wote. Binadamu wa kawaida hawezi kufurahia kutengwa; kama tunapenda kuwa na ndugu na marafiki tuwe makini na mabango na maneno tunayozungumza.

mKUU, you got me 101%! sina matatizo na vibao vyenye maandishi kwenye nyumba/gheto zetu lakini tuangalie aina ya ujumbe uliomo!!
 
Sikumwambia akitoe hicho kibao, bali nilimshauri akitoe!!! Bila shaka hapo utaona kuna tofauti kubwa kati ya kumwambia afanye kile ninachokiamini na kumshauri afanye kile ninachoamini kipo sahihi! Akiwa kama mshikaji wangu, nina haki na wajibu wa kumshauri ingawaje sina haki wala wajibu wa kumwambia/au kumpangia afanye jambo lolote! By the way, jaribuni kumwelewa mtu, huyo niliyemzungumzia ni my friend, na sio mtu mtu tu, kama ulivyomwita (ingawaje wapo watakaouliza kwani yeye sio mtu)!!! Ni mtu ambae sichelei kumwambia kitu chchote hata kama hawezi kukubaliana na mimi; na huo ndivyo urafiki ulivyo!

Ustaarabu huna mkuu kajipange upya, maana kuja na hiyo generalization ya kuwa wanawake wa ukanda wa pwani wanapenda mipasho kwenye kadamnasi kubwa namna hii inaonyesha kuwa huna ustaarabu.


Pili kuingia hapa na heading hiyo ya "mtu anapo-support UJINGA wa mkewe" inaonyesha kwako ustaarabu ni sufuri. Huwezi kuwa mstaarabu ukamwambia mtu mkewe mjinga

Tatu wewe si mstaarabu kwa sababu uliuliza masuala personal ya wanandoa bila kujua kikomo chako
 
Mimi kama ningekuwa natafuta mchumba,ndio tumeenda nyumbani kwa mchumba tukakuta kibao hiko....

Lazima ndugu zangu wangeniambia duh...huu ukoo umekaa kimipasho na kishari

kazi unayo......
 
u're right AshaDii, na ndio maana sikukiondoa kile kibao kv wame-opt kuishi hivyo!!! Nilichofanya ni kumshauri kama rafiki on how could other pple perceive on such paintings! I still believe, it ain't right at all at least basing on my thinking ability!


Nilikua sina maana kua what you did was wrong... NO! Ulifanya vizuri kumueleza (thou i have a feeling the way ulimueleza kwa mtu ambae ame condone mkewe aweke such kibao) labda kidogo haikuwa effective.... Na I bliv hii thread ni moja ya topics ambayo ni constructive, vyaweza onekana kama vitu vidogo but huleta maana kubwa saaana kwa observers wengine hasa wageni....
 
Back
Top Bottom