veronica gondwe
Member
- Mar 2, 2013
- 24
- 6
Habari za wakati huu,
Wapendwa kaka na dada zangu, ni mara ya kwanza ktk uwanja huu. wote salaamu!
nina rafiki yangu ameolewa na wamebahatikkuwa na mtoto mmoja. mume wake ni dereva daladala. wanaishi dsm mtongani, mume anaendesha daladala za gongolamboto. lakini siku zote hulala nje eti hawezirudi nyumbani kwa hofu ya kuchelewa kuamka asbh. so ktk wiki atarudi nyumbani cku moja. tena bila ya pesa, na atalala cku moja tu.
Hana huduma zote muhimu kwa mke na mtoto. mwanamke anajisaidia mwenyewe kwa kila kitu. tena imebidi achukuwe mtoto ampeleke kwa wazazi wake mwanamke ili aweze kutafuta riziki. mume hana msaada wowote kwake. sasa mwanamke amechukuwa maamuzi ya kutafuta chumba na kuishi mwenyewe, akaenda kueleza matatizo yake upande wa mume wake na uamuzi aliochukua.
Kikafanyika kikao na mume akiwepo mume akadai atajirekebisha akamuomba mkeme asiondoke. mke akamsamehe, lakini mume karudia tena tba yake ya mwanzo. sasa mke anaomba ushauri juu ya hili. natanguliza shukrani
Wapendwa kaka na dada zangu, ni mara ya kwanza ktk uwanja huu. wote salaamu!
nina rafiki yangu ameolewa na wamebahatikkuwa na mtoto mmoja. mume wake ni dereva daladala. wanaishi dsm mtongani, mume anaendesha daladala za gongolamboto. lakini siku zote hulala nje eti hawezirudi nyumbani kwa hofu ya kuchelewa kuamka asbh. so ktk wiki atarudi nyumbani cku moja. tena bila ya pesa, na atalala cku moja tu.
Hana huduma zote muhimu kwa mke na mtoto. mwanamke anajisaidia mwenyewe kwa kila kitu. tena imebidi achukuwe mtoto ampeleke kwa wazazi wake mwanamke ili aweze kutafuta riziki. mume hana msaada wowote kwake. sasa mwanamke amechukuwa maamuzi ya kutafuta chumba na kuishi mwenyewe, akaenda kueleza matatizo yake upande wa mume wake na uamuzi aliochukua.
Kikafanyika kikao na mume akiwepo mume akadai atajirekebisha akamuomba mkeme asiondoke. mke akamsamehe, lakini mume karudia tena tba yake ya mwanzo. sasa mke anaomba ushauri juu ya hili. natanguliza shukrani