Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 8,355
- 19,391
Who cares!!?Huyo mama mkwe ni mpumbavu at all grounds haijalishi wewe na yeye hamuelewani. Hii ni aina nyingine ya ukatili kwa watoto. Muafrika hajafikia pointi ya ustaarabu. Ni suala nitaendelea kulisisitiza siku zote za maisha yangu.