The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,394
- 12,978
Inasemekana baada ya yale mapigo ya Mbowe leo, CCM sasa wanahaha na Katibu Mkuu wa CCM ameambiwa amwandalie Waziri Mkuu majibu ili wajihami na mapigo ya Mbowe!!
Serikali ya magamba hovyo kweli, yani majibu ya serikali yanaandaliwa na katibu mkuu wa chama cha magamba