kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,165
- 16,158
Nikiri tu mwanzo sikumuelewa ndugu Makonda, lakini sasa namuelewa kuliko anavyojielewa. Kwa heshima ya chama na mimi kipara kipya na wanachama wa CCM wote wenye mapenzi mema na nchi na Rais na wananchi kwa ujumla naomba akubali jina hili Mzee wa Mapigo na Mwendo.
Tusimuite tena Makonda ni mzee wa mapigo na mwendo. Yale anayoyatenda kwenye ziara anastahili hili jina. Amewasambaratisha anatatua anapiga huku anasaidia yaani kama Marekani.
BRAVO MAPIGO NA MWENDO.
NB: Mimi sio chawa
Anayebisha alete mdahalo tukutane uchaguzi serikali 2024 tukutane uchaguzi mkuu 2025, CCM ni Mapigo na Mwendo.
Kipara kipya Gunia.
Tusimuite tena Makonda ni mzee wa mapigo na mwendo. Yale anayoyatenda kwenye ziara anastahili hili jina. Amewasambaratisha anatatua anapiga huku anasaidia yaani kama Marekani.
BRAVO MAPIGO NA MWENDO.
NB: Mimi sio chawa
Anayebisha alete mdahalo tukutane uchaguzi serikali 2024 tukutane uchaguzi mkuu 2025, CCM ni Mapigo na Mwendo.
Kipara kipya Gunia.