Mkuu kwa hili unastahili pongezi!Wakishamaliza kuiponda CHADEMA wanaenda kumalizia hasira zao kwenda kupiga miti wake za wenzao.
Wewe ni wa wapi anayetakiwa kuthibitisha madai ni mshitakiwa au anayeshitaki, kazi ya mtuhumiwa ni kusema sijui,hapana,sikuwepo,muongo nk basi.Ili kuipangua propaganda basi ni lazima cdm itoe maelezo kuhusu ile barua aliyokuwa nayo mukama aliyodai imesainiwa na Lwakatare.Kusema tu kwamba ni propaganda na kwamba 'tunamsamehe bure'hayatoshi kuwaelewesha wapiga kura.Lazima cdm ijibu hoja hii kwa uzito wake haraka iwezekanavyo.Haitoshi tu kulalamika kuwa 'wanatusingizia.'
Komandoo Malaria Sugu ameishaelekea Igunga kwa ajili ya ughaidi na kuwafundisha vijana wa kiislamu kubeba mabomu na kujitoa muhanga. Wao magmata ndio wameingiza maghaidi Igunga, akiwemo MS
Hakuna aliyeshtaki!Mukama katibu mkuu wa CCM ameongea na waandishi wa habari kuishutumu cdm kuwa imeleta makomandoo kuvuruga uchaguzi wa Igunga!Tupo kwenye kampeni na kila shutuma inapotolewa na mpinzani wako kukaa kimya au kueleza tu kuwa 'namsamehe bure'bado haitoshi kumfanya mpiga kura aone kuwa ni kweli ile barua yenye hayo majina yenye saini ya Lwakatare ni ya kutengeneza.Hili suala haliko kortini mkuu feedback.Mara nyingine 'hasa kwenye kampeni' ni lazima kupangua kila propaganda ya mpinzani wako haraka iwezekanavyo.Tuendelee kujadili bila 'ushabiki uliopitiliza'!Wewe ni wa wapi anayetakiwa kuthibitisha madai ni mshitakiwa au anayeshitaki.
Kumpuuza mpinzani wako nayo ni propaganda tosha.Hakuna aliyeshtaki!Mukama katibu mkuu wa CCM ameongea na waandishi wa habari kuishutumu cdm kuwa imeleta makomandoo kuvuruga uchaguzi wa Igunga!Tupo kwenye kampeni na kila shutuma inapotolewa na mpinzani wako kukaa kimya au kueleza tu kuwa 'namsamehe bure'bado haitoshi kumfanya mpiga kura aone kuwa ni kweli ile barua yenye hayo majina yenye saini ya Lwakatare ni ya kutengeneza.Hili suala haliko kortini mkuu feedback.Mara nyingine 'hasa kwenye kampeni' ni lazima kupangua kila propaganda ya mpinzani wako haraka iwezekanavyo.Tuendelee kujadili bila 'ushabiki uliopitiliza'!
Hakuna huo muda wakupoteza yaani Chadema waache kutoa Elimu ya ukombozi kwa wana Igunga na Kwa Watanzania kwa ujumla waangaike na Mkama...Dola yetu haipo huru kuna thread hapa imeongelea jinsi OCD wa Igunga alivyo amishwa katika mazingira tata pia tunakumbuka yule Kamanda mpenda Haki wa Arusha kama nakumbuka vizuri anaitwa Bathlei yaliyomkuta...!Kwahiyo Mkuu kama bado unawaamini polisi umepotoka jaribu tu kulinganisha matukio naufikirishe ubongo kidogo utaupata ukweli.Polisi hawahitaji kupelekewa Taarifa kauli ya Mkama tu ingewaamsha nakumtumia kama source aonyeshe hao Magaidi wa Cdm walipo.Kama kuna kiongozi wa CDM hapa, hususani wewe mleta mada, nawashauri mfikishe mashitaka kwa polisi na kwa tume ya maadili ili Mkama athibitishe kauli yake hiyo na atoe ushaidi. Hili si la kupuuza, walianza kwa kumwagia tindikali, kuchoma moto nyumba, sasa wataua mtu au hata kulipua mabomu, kwani si wana access na jeshi, wakitaka mabomu watapatiwa tu.
Hayo majina toka Afganstani likikosekana la Abdalah halafu atuwekee la Masanja na Mwankenja najua ni feki.Nilipomwangalia mzee Mukama alivyokua anaongea kwa jazba huku ameshikilia karatasi yenye orodha ya majina ambayo anadai ni makomandoo wameingizwa nchini toka nje ya nchi kuja kuwatisha wapiga kura wa Igunga,kwanza nimecheka sana na baadae nimetambua hali ya mambo kwa ndugu zetu wa CCM huko Igunga siyo nzuri. Sasa naelewa ni kwanini DC anahaha ktk vijiji na kufanya vikao visivyo halali.
mkuu kuna taarifa kuwa ccm imepanga kuandaa disco usiku wa kuamkia tarehe ya uchaguzi afu wataanzisha vurugu ili vijana wengi wakamatwe na kuwekwa lumande hadi siku ya uchaguzi ipite pia kuna ongezeko la polisi hapa igunga, mf. Jana waliingia polisi 115. OvaReal,, Mukama anatakiwa awe tayari na taarifa/RB ya polisi, ni madai mazito kuacha yanaelea tu. Ila kwa polisi iliyoegemea upande wa ccm utashangaa wamekaa kimya kabisa