kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Hivi huyu Mukama anaelimu gani na amesomea nini?
Majungu,uongo na habari za kupika.
Hivi huyu Mukama anaelimu gani na amesomea nini?
Wakishamaliza kuiponda CHADEMA wanaenda kumalizia hasira zao kwenda kupiga miti wake za wenzao.
Mkuu wamefanya mchezo wa kitoto, CCM wanatumia siasa za maji ya chooni na safari hii wanaumbuka, Apeleke ushahidi polisi na Nahodha atuambie iweje makomandoo kutoka nje wameingiaje especialy ukizingatia mukama katoa majina na location walizopo inapaswa wakamatwe, najua awezi zibitisha kama zombe alivyoshindwa kuzibitisha wizi wa magari wa Lema aliousema.hizi taarifa nilitumiwa na mwana jf mmoja akiniambia kuwa ccm wanajipanga kutumia mbinu hizi pamoja na kuwambambikia madawa ya kulevya nilizipuuza mnaana niliziona za kitoto/kijinga mno wasingetumia...lakini siku ya 2 baada ya kupata kweli njia moja wameitumia bado ya madawa ya kulevya..
Ili kuipangua propaganda basi ni lazima cdm itoe maelezo kuhusu ile barua aliyokuwa nayo mukama aliyodai imesainiwa na Lwakatare.Kusema tu kwamba ni propaganda na kwamba 'tunamsamehe bure'hayatoshi kuwaelewesha wapiga kura.Lazima cdm ijibu hoja hii kwa uzito wake haraka iwezekanavyo.Haitoshi tu kulalamika kuwa 'wanatusingizia.'
Kama Mkama anakiamini hicho alichokisema, sasa aonyeshe mfano! Amshinikize waziri wa Mambo ya ndani ajiuzuru mara moja kwa kuruhusu makomandoo hao kuingia nchini kinyume cha sheria! Kisha na yeye ajiuzuru kwa kuwa chama chake kinaongoza serikali isiyowajibika. Chadema ungeni mkono hoja ya Mkama haraka kwamba ni kweli kuna makomandoo na kisha ashinikizwe kujiuzuru!Sasa mukama ndio kabisaa akili yake
ni mgando atoe ushahidi la sivyo
usalama wa taifa umedhalilishwa
kuwa wapo likizo kwa Kauli za
mukama ccm wanaunda bomu la
kuwauwa wenyewe mukama na ccm tunasema
mkubwa hatishiwi nyau .