nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
mkuu hapo kwenye red wanatofautiana nini hao??ndio walewale tu pipa na mfuniko8][/COLOR]Mukama lazima awe anavuta bangi, hii siyo kauli ya mtu anayetumia akili kufikiri.Natoa ushauri kwa JKhuyu Katibu Mkuu wake akapimwe akili isije kuwa lile bichwa limejaa nta ya moshi wa bangi badala ya ubongo.