Akthoo
JF-Expert Member
- Nov 5, 2007
- 998
- 1,015
Kwa hiyo mujahidin waliopiga kambi pale ndiyo wanaondoa maradhi na vifo ?
Wanawaliwaza na kuwasaidia wagonjwa basi inatosha! Na wanaokosa dawa wananunuliwa na wasio na nauli za kurejea nyumbani baada ya matibabu wanapewa n.k. Yaani ni kuonyesha Utu na thamani yake.