REMSA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,579
- 947
Kuna kikundi cha watu wa kiislamu (Mujahidina) kimeweka kambi kwenye hospitali
ya Temeke karibia Mwaka sasa,Mganga mkuu wa hospitali hii Dr.Malima alisema
wamekuja kutoa msaada wa damu na kuosha wagonjwa.Lakini cha kushangaza
toka hapo wanafika hospitali kila siku asubuhi na kuanza swala zao kwenye uwanja
wa hospitali na wapo tu hapo haieleweki kwa lengo lipi.
My take:
-Je ni sahihi kikundi cha dini fulani kuwepo mazingira ya hospitali kila siku kama mahali pao pa kazi
-Hata kama ni kuosha wagonjwa je ni kweli hawa watu wana utaalamu wa kuhudumia wagonjwa!
-Au je serikali haina wahudumu wa kutosha kuhudumia wagonjwa na hawaoni kikundi hiki kuwepo
maeneo ya hospitali kila siku na kufanya swala zao hapo haileti picha nzuri!
-Na je siku akibadilishwa mganga mkuu wa hospitali akondolewa huyu wa dini na dhehebu moja
akaletwa wa dini tofauti serikali haioni kuwa itakuwa ndio mwanzo wa mgogoro mzito!
ya Temeke karibia Mwaka sasa,Mganga mkuu wa hospitali hii Dr.Malima alisema
wamekuja kutoa msaada wa damu na kuosha wagonjwa.Lakini cha kushangaza
toka hapo wanafika hospitali kila siku asubuhi na kuanza swala zao kwenye uwanja
wa hospitali na wapo tu hapo haieleweki kwa lengo lipi.
My take:
-Je ni sahihi kikundi cha dini fulani kuwepo mazingira ya hospitali kila siku kama mahali pao pa kazi
-Hata kama ni kuosha wagonjwa je ni kweli hawa watu wana utaalamu wa kuhudumia wagonjwa!
-Au je serikali haina wahudumu wa kutosha kuhudumia wagonjwa na hawaoni kikundi hiki kuwepo
maeneo ya hospitali kila siku na kufanya swala zao hapo haileti picha nzuri!
-Na je siku akibadilishwa mganga mkuu wa hospitali akondolewa huyu wa dini na dhehebu moja
akaletwa wa dini tofauti serikali haioni kuwa itakuwa ndio mwanzo wa mgogoro mzito!