Mujahidina waweka kambi hospitali ya temeke

Status
Not open for further replies.

REMSA

JF-Expert Member
Jan 25, 2012
2,579
947
Kuna kikundi cha watu wa kiislamu (Mujahidina) kimeweka kambi kwenye hospitali
ya Temeke karibia Mwaka sasa,Mganga mkuu wa hospitali hii Dr.Malima alisema
wamekuja kutoa msaada wa damu na kuosha wagonjwa.Lakini cha kushangaza
toka hapo wanafika hospitali kila siku asubuhi na kuanza swala zao kwenye uwanja
wa hospitali na wapo tu hapo haieleweki kwa lengo lipi.


My take:
-Je ni sahihi kikundi cha dini fulani kuwepo mazingira ya hospitali kila siku kama mahali pao pa kazi
-Hata kama ni kuosha wagonjwa je ni kweli hawa watu wana utaalamu wa kuhudumia wagonjwa!
-Au je serikali haina wahudumu wa kutosha kuhudumia wagonjwa na hawaoni kikundi hiki kuwepo
maeneo ya hospitali kila siku na kufanya swala zao hapo haileti picha nzuri!
-Na je siku akibadilishwa mganga mkuu wa hospitali akondolewa huyu wa dini na dhehebu moja
akaletwa wa dini tofauti serikali haioni kuwa itakuwa ndio mwanzo wa mgogoro mzito!
 
Mzee wa heshima nyingi REMSA, hii ni nchi ya mazuzu, huyo daktar mkuu wa hospitali hiyo hajiulizi mission ya hao watu ni ipi.
Hawaoshi wagonjwa, kazi yao ni kukaa tu na kupanga mipango yao ambayo hatuijui na hawajaiweka bayana.
Huu ni wakati wa kufanya screen, ili tuone ni nini dhamira yao haswa, na tuijue.
Tusijekuta washkaji sio waislam wala nini, ila ni kundi la wachawi wanaowachukua wagonjwa wetu MISUKULE
Kuna kikundi cha watu wa kiislamu (Mujahidina) kimeweka kambi kwenye hospitali
ya Temeke karibia Mwaka sasa,Mganga mkuu wa hospitali hii Dr.Malima alisema
wamekuja kutoa msaada wa damu na kuosha wagonjwa.Lakini cha kushangaza
toka hapo wanafika hospitali kila siku asubuhi na kuanza swala zao kwenye uwanja
wa hospitali na wapo tu hapo haieleweki kwa lengo lipi.


My take:
-Je ni sahihi kikundi cha dini fulani kuwepo mazingira ya hospitali kila siku kama mahali pao pa kazi
-Hata kama ni kuosha wagonjwa je ni kweli hawa watu wana utaalamu wa kuhudumia wagonjwa!
-Au je serikali haina wahudumu wa kutosha kuhudumia wagonjwa na hawaoni kikundi hiki kuwepo
maeneo ya hospitali kila siku na kufanya swala zao hapo haileti picha nzuri!
-Na je siku akibadilishwa mganga mkuu wa hospitali akondolewa huyu wa dini na dhehebu moja
akaletwa wa dini tofauti serikali haioni kuwa itakuwa ndio mwanzo wa mgogoro mzito!
 
Last edited by a moderator:
Misikiti imejengwa kibao na haijai waumini, wao wanaikimbia wanaenda kuswalia uwanjani ambapo kunauwezekano mkubwa kuwa watu wamepakojolea, wao hawaitambui hiyo. anyway labda kuna agenda maalum kwamba kikinuka huko mtaani majeruhi wa kigalatia wawe wanamaliziwa fasta, na wale wa . . . . wasaidiwe kupatiwa matibabu.
 
Mzee wa heshima nyingi REMSA, hii ni nchi ya mazuzu, huyo daktar mkuu wa hospitali hiyo hajiulizi mission ya hao watu ni ipi.
Hawaoshi wagonjwa, kazi yao ni kukaa tu na kupanga mipango yao ambayo hatuijui na hawajaiweka bayana.
Huu ni wakati wa kufanya screen, ili tuone ni nini dhamira yao haswa, na tuijue.
Tusijekuta washkaji sio waislam wala nini, ila ni kundi la wachawi wanaowachukua wagonjwa wetu MISUKULE

Ha ha ha.. Mkuu Bujibuji utawafanya waswahili waciwapeleke wagonjwa wao Temeke.. Maana waswahili wanaogopa uchawi kuliko..
 
NINYI *&^$ HAMNA HERI HATA MMOJA!
KABLA YA KUANDIKA HAYA, UNGEJISUMBUA KIDOGO TU KWENDA KUONANA NA UONGOZI WA HOSPITALI HUSIKA ILI UPATE TAARIFA SAHIHI AU WASILIANA NA MANESI WANAOFANYA KAZI MAWODINI ILI UJUE ZAIDI. NA KWA TAARIFA YAKO ZOEZI HILO LINAFANYIKA HOSPITALI ZOTE, ILALA, MWANANYAMALA, OCEAN RD, MUHIMBILI NA HATA MIKOANI.
JIULIZE WEWE BINAFSI NI LINI UMEKWENDA HOSPITALI YEYOTE KUMUONA MGONJWA ASIYEKUHUSU AU KUMSAIDIA USIYEMJUA?
KWA WAISLAMU , HIYO NI IBADA; NA HUWEZI KUJUA NI KIASI GANI WAGONJWA WASIOKUWA NA JAMAA AU WALIOTELEKEZWA NA WATU WAO WAMEFARIJIKA KWA HUDUMA ZA HAO UNAOWAITA
(Mujahidina).

TAFAKARI; CHUKUA HATUA SASA!
 
NINYI *&^$ HAMNA HERI HATA MMOJA!
KABLA YA KUANDIKA HAYA, UNGEJISUMBUA KIDOGO TU KWENDA KUONANA NA UONGOZI WA HOSPITALI HUSIKA ILI UPATE TAARIFA SAHIHI AU WASILIANA NA MANESI WANAOFANYA KAZI MAWODINI ILI UJUE ZAIDI. NA KWA TAARIFA YAKO ZOEZI HILO LINAFANYIKA HOSPITALI ZOTE, ILALA, MWANANYAMALA, OCEAN RD, MUHIMBILI NA
HATA MIKOANI.
JIULIZE WEWE BINAFSI NI LINI UMEKWENDA HOSPITALI YEYOTE KUMUONA MGONJWA ASIYEKUHUSU AU KUMSAIDIA USIYEMJUA?
KWA WAISLAMU , HIYO NI IBADA; NA HUWEZI KUJUA NI KIASI GANI WAGONJWA WASIOKUWA NA JAMAA AU WALIOTELEKEZWA NA WATU WAO WAMEFARIJIKA KWA HUDUMA ZA HAO UNAOWAITA
(Mujahidina).

TAFAKARI; CHUKUA HATUA SASA!

Sasa hapo wagonjwa wanasaidiwaje?Kwa kuangaliwa au kupewa msaada wa mahitaji mbalimbali?
 
Mzee wa heshima nyingi REMSA, hii ni nchi ya mazuzu, huyo daktar mkuu wa hospitali hiyo hajiulizi mission ya hao watu ni ipi.
Hawaoshi wagonjwa, kazi yao ni kukaa tu na kupanga mipango yao ambayo hatuijui na hawajaiweka bayana.
Huu ni wakati wa kufanya screen, ili tuone ni nini dhamira yao haswa, na tuijue.
Tusijekuta washkaji sio waislam wala nini, ila ni kundi la wachawi wanaowachukua wagonjwa wetu MISUKULE

Ni kweli Mkuu huyu daktari either kwa kujua au kwa kutokujua mission ya hawa watu,sidhani
kuwa ni njema kwa sababu hakuna ajuaye wametoka wapi na lengo ni nini.
 
Misikiti imejengwa kibao na haijai waumini, wao wanaikimbia wanaenda kuswalia uwanjani ambapo kunauwezekano mkubwa kuwa watu wamepakojolea, wao hawaitambui hiyo. anyway labda kuna agenda maalum kwamba kikinuka huko mtaani majeruhi wa kigalatia wawe wanamaliziwa fasta, na wale wa . . . . wasaidiwe kupatiwa matibabu.
Mbona hata madada wanakojolewa tu kwa ujumla na kwa urejareja? Hatari kitu gani?
 
Ha ha ha.. Mkuu Bujibuji utawafanya waswahili waciwapeleke wagonjwa wao Temeke.. Maana waswahili wanaogopa uchawi kuliko..

Tatizo pia kwa mganga mkuu sijui kama ni dini au la?maana ukiingia ofisini kwa Dr Malima
muda wote ni ubani unachomwa.Kwa sababu sina utaalamu sana na masuala ya dini sijui
kama ndio dini inavyomtaka huyu alhaji Malima au kuna kitu zaidi.
 
NINYI *&^$ HAMNA HERI HATA MMOJA!
KABLA YA KUANDIKA HAYA, UNGEJISUMBUA KIDOGO TU KWENDA KUONANA NA UONGOZI WA HOSPITALI HUSIKA ILI UPATE TAARIFA SAHIHI AU WASILIANA NA MANESI WANAOFANYA KAZI MAWODINI ILI UJUE ZAIDI. NA KWA TAARIFA YAKO ZOEZI HILO LINAFANYIKA HOSPITALI ZOTE, ILALA, MWANANYAMALA, OCEAN RD, MUHIMBILI NA HATA MIKOANI.
JIULIZE WEWE BINAFSI NI LINI UMEKWENDA HOSPITALI YEYOTE KUMUONA MGONJWA ASIYEKUHUSU AU KUMSAIDIA USIYEMJUA?
KWA WAISLAMU , HIYO NI IBADA; NA HUWEZI KUJUA NI KIASI GANI WAGONJWA WASIOKUWA NA JAMAA AU WALIOTELEKEZWA NA WATU WAO WAMEFARIJIKA KWA HUDUMA ZA HAO UNAOWAITA
(Mujahidina).

TAFAKARI; CHUKUA HATUA SASA!
misikiti imejaa ha wa watu mbona wagomvi sana?
 
NINYI *&^$ HAMNA HERI HATA MMOJA!
KABLA YA KUANDIKA HAYA, UNGEJISUMBUA KIDOGO TU KWENDA KUONANA NA UONGOZI WA HOSPITALI HUSIKA ILI UPATE TAARIFA SAHIHI AU WASILIANA NA MANESI WANAOFANYA KAZI MAWODINI ILI UJUE ZAIDI. NA KWA TAARIFA YAKO ZOEZI HILO LINAFANYIKA HOSPITALI ZOTE, ILALA, MWANANYAMALA, OCEAN RD, MUHIMBILI NA HATA MIKOANI.
JIULIZE WEWE BINAFSI NI LINI UMEKWENDA HOSPITALI YEYOTE KUMUONA MGONJWA ASIYEKUHUSU AU KUMSAIDIA USIYEMJUA?
KWA WAISLAMU , HIYO NI IBADA; NA HUWEZI KUJUA NI KIASI GANI WAGONJWA WASIOKUWA NA JAMAA AU WALIOTELEKEZWA NA WATU WAO WAMEFARIJIKA KWA HUDUMA ZA HAO UNAOWAITA
(Mujahidina).

TAFAKARI; CHUKUA HATUA SASA!

Hakuna mtu anakataa suala la wagonjwa kupewa huduma,lakini ndugu yangu nikuuluze ibada
ni kuona wagonjwa na kuwasaidia au kushinda hospitali naswala zote zinafanyika kwenye uwanja
wa hospitali!!Na je hawa watu wanaishi kwa nguvu ya nani?mahitaji yao wanapata wapi pasipo
kufanya kazi?je hawana familia?kama wanazo wanazihudumia kwa kipato gani? Think Twice"
 
Naona wameanza kuwaiga wamasai wasiokuwa na makazi maalum tunaowaona mitaani wakilala kwa makundi sehemu mbalimbali...
 
misikiti imejaa ha wa watu mbona wagomvi sana?

Mkuu huyo ni mpango maalum wa kutoa msaada mfano juzi nilijuwa Korogwe nikaona asubuhi wanapeleka Uji na Kufanya Usafi hospitali ya wilaya sidhani kama kuna tatizo na huwa wanafanya hivyo kila siku na manesi wanafurahia huduma zao, ni hayo tuu.
 
mwaka mzima wanatoa huduma??? hawana kazi za kufanya?? ndio maana hatuendelei! rubbish!
 
Hakuna mtu anakataa suala la wagonjwa kupewa huduma,lakini ndugu yangu nikuuluze ibada
ni kuona wagonjwa na kuwasaidia au kushinda hospitali naswala zote zinafanyika kwenye uwanja
wa hospitali!!Na je hawa watu wanaishi kwa nguvu ya nani?mahitaji yao wanapata wapi pasipo
kufanya kazi?je hawana familia?kama wanazo wanazihudumia kwa kipato gani? Think Twice"

USILOLIJUA; LISIKUSHUGHULISHE!!!
"NO RESEACH NO RIGHT TO SPEAK"
Hata hivyo hofu tu ndio imekutawala, vinginevyo unayofursa ya kuongea na hao jamaa. Hata kuwauliza chanzo cha kipato chao au huduma wanazotoa fedha wanapata wapi. Kama Binadamu mwenye huruma (Msamaria mwema) unayo fursa ya kuchangia mali yako na nguvu zako kuwaunga mkono na sio kuwavunja moyo.
Kuna Jamaa kibao wanapita mawodini wakikimea kwa Jina la Yesu, kwa kutoa sauti za juu; Ukweli ni kuwa mbali na kuwasumbua wagonjwa, hawatoi msaada hata wa kumpeleka chooni mgonjwa mhitaji. Na Maradhi na vifo viko pale pale.
 
kuna kikundi cha watu wa kiislamu (mujahidina) kimeweka kambi kwenye hospitali
ya temeke karibia mwaka sasa,mganga mkuu wa hospitali hii dr.malima alisema
wamekuja kutoa msaada wa damu na kuosha wagonjwa.lakini cha kushangaza
toka hapo wanafika hospitali kila siku asubuhi na kuanza swala zao kwenye uwanja
wa hospitali na wapo tu hapo haieleweki kwa lengo lipi.


My take:
-je ni sahihi kikundi cha dini fulani kuwepo mazingira ya hospitali kila siku kama mahali pao pa kazi
-hata kama ni kuosha wagonjwa je ni kweli hawa watu wana utaalamu wa kuhudumia wagonjwa!
-au je serikali haina wahudumu wa kutosha kuhudumia wagonjwa na hawaoni kikundi hiki kuwepo
maeneo ya hospitali kila siku na kufanya swala zao hapo haileti picha nzuri!
-na je siku akibadilishwa mganga mkuu wa hospitali akondolewa huyu wa dini na dhehebu moja
akaletwa wa dini tofauti serikali haioni kuwa itakuwa ndio mwanzo wa mgogoro mzito!

ni kweli waislam tumehimizwa kutembelea wagonjwa na kuwasaidia na kuwaombea dua pamoja na kuwafariji
ila sasa hili la kukaa na kushinda hapo sidhani kama lina ushahid wa maandiko
nadhani itakua ni maamuz ya hao watu kwa nasfi zao,misikiti kama sehemu za kufanyia ibado zipo,na hapo sio mahala pake
wasituharibie dini yetu kwa mwamvuli huo wanaoutumia
 
mwaka mzima wanatoa huduma??? hawana kazi za kufanya?? ndio maana hatuendelei! rubbish!

Hapo sasa!! huduma mwaka mzima na kuswali hapohapo kwa nini wasiende msikitini kuswali
baada ya huduma!!!
 
USILOLIJUA; LISIKUSHUGHULISHE!!!
"NO RESEACH NO RIGHT TO SPEAK"
Hata hivyo hofu tu ndio imekutawala, vinginevyo unayofursa ya kuongea na hao jamaa. Hata kuwauliza chanzo cha kipato chao au huduma wanazotoa fedha wanapata wapi. Kama Binadamu mwenye huruma (Msamaria mwema) unayo fursa ya kuchangia mali yako na nguvu zako kuwaunga mkono na sio kuwavunja moyo.
Kuna Jamaa kibao wanapita mawodini wakikimea kwa Jina la Yesu, kwa kutoa sauti za juu; Ukweli ni kuwa mbali na kuwasumbua wagonjwa, hawatoi msaada hata wa kumpeleka chooni mgonjwa mhitaji. Na Maradhi na vifo viko pale pale.
Kwa hiyo mujahidin waliopiga kambi pale ndiyo wanaondoa maradhi na vifo ?
 
USILOLIJUA; LISIKUSHUGHULISHE!!!
"NO RESEACH NO RIGHT TO SPEAK"
Hata hivyo hofu tu ndio imekutawala, vinginevyo unayofursa ya kuongea na hao jamaa. Hata kuwauliza chanzo cha kipato chao au huduma wanazotoa fedha wanapata wapi. Kama Binadamu mwenye huruma (Msamaria mwema) unayo fursa ya kuchangia mali yako na nguvu zako kuwaunga mkono na sio kuwavunja moyo.
Kuna Jamaa kibao wanapita mawodini wakikimea kwa Jina la Yesu, kwa kutoa sauti za juu; Ukweli ni kuwa mbali na kuwasumbua wagonjwa, hawatoi msaada hata wa kumpeleka chooni mgonjwa mhitaji. Na Maradhi na vifo viko pale pale.

Ukiacha kupanic na kutulia utanielewa,pitia upya topic yangu then jibu moja baada ya nyingine
kwa hoja,acha kutoka mapovu dear.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom