Umekaa kisiasa zaidi,nadhani hata ukinya unachunguza rangi yametoka ya ki CCM au rangi ya Chadema.
Mwanamuziki mkogwe wa dansi,mi sijui huyo ndo nani jamani?
Makubwaaa! Mimi ni Mtanganyika asili, kwetu Katavi, siasa za vyama kwangu si sana. Msalani kwangu nina choo cha ku-flush automatic wala sijawahi ona choo changu. Halafu wewe kwa kurejea maandiko yako nahisi ni mgomvi mgomvi kiasi.