M2mwembamba
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 2,491
- 1,089
Mungu ampuzishe panapo sitahili
Kwa heri Gurumo.
amefariki leo muhimbili.mungu amlaze mahali pema peponi.
Source.mbeya fm.
Miss you Mzee Muhidi Gurumo, rest in peace.
<strong>
Angalizo: wanasiasa wasijetumia msiba wake kuweka distraction watu waache kufuatilia mada kuu, bunge la katiba na uwajibikaji wa serikali kupambana na mafuriko.
" sasa pesa zimemuishia kassim hana la kufanya eeeh"????