Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
Hii imekaaje kulikoni Bakwata kumgeuka Mufti na kumuambia ameifilisi yaani siku zote kuanzia alipoanza hadi kamaliza ndio wanastuka !!!
Wamsamehe tu mambo ya wanadamu hata kuwa Mufti mkuu sio wamba hawezi kufanya makosa....
Au pengine hawajafanya utafiti kabla ya kutoa tamko la kumshutumu Mufti..
Itakuwaje kama Watamshitaki? au Mufti anakinga ya kutoshitakiwa?
Source Magazeti ya 25/12/2012
Wamsamehe tu mambo ya wanadamu hata kuwa Mufti mkuu sio wamba hawezi kufanya makosa....
Au pengine hawajafanya utafiti kabla ya kutoa tamko la kumshutumu Mufti..
Itakuwaje kama Watamshitaki? au Mufti anakinga ya kutoshitakiwa?
Source Magazeti ya 25/12/2012