Chechei mlionitangulia juu kunako uzi huu.
Ni hivi jana kule pande za mitaa ya MMU Nyani alitoa comment kwa Magogoni ya Jf kwamba watanue wigo kwa kutenga Searchzone. Hoja iliyoungwa mkono na Husn na FF, kwani alichokiona jana Nyani ni Bi- Dada Khuzayma akimtafuta amtafutae kwa kuanzisha thread but akatokea Bajabir nae anamtafuta wake kupitia uzi wa Khuzayma (sina hakika kama alichakachua au laa).
Hapa Nazjaz si kwamba anatafuta mtu yeye anauliza ukimya wa aliye mlenga, ieleweke kuna TAFUTA na ULIZIA UKIMYA.
Namimi namuulizia BUJIBUJI si kawaida yake kimya kihivi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.