Fungo N.
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 252
- 43
Nilibahatika kuwa na m penzi tangu 2006,ambapo pia nilifaulu kuendelea na kdt 5 na baadae chuo na sasa nahitimu mwaka wa 3,wakati wote huu 2mejitahidi kuwa wapya kila mwaka na bado 2napendana.HOFU yangu ni kwamba lengo nataka 2fikie azma ya kuoana lakini naogopa kuwa tutawahi kuchokana mara baada ya kuanza maisha.Naomba ushauri