Kigezo kikuu kwa mtoto wa kiume ni pale anapobarehe tu, na kwa mtoto wa kike ni pale anapovunja ungo tu. Na suala la kazi nadhani ni open ended, unamaanisha kazi za ofisini, kilimo, umachinga au uosha magari? Nijuavyo mimi karibia watu wote wanafanya kazi.Amani kwenu wadau. natumai wote mu wazima..nahitaji msaada ktk hili. Je muda
wa kuoa / kuingia kwenye ndoa ni upi?..na Je ni sahihi kuangalia kigezo cha umri
au kazi kabla ya kuamua kuingia kwenye ndoa?.
thanks wanajamvi, naomba kuwasilisha.
Kigezo kikuu kwa mtoto wa kiume ni pale anapobarehe tu, na kwa mtoto wa kike ni pale anapovunja ungo tu. Na suala la kazi nadhani ni open ended, unamaanisha kazi za ofisini, kilimo, umachinga au uosha magari? Nijuavyo mimi karibia watu wote wanafanya kazi.
Ukishaona una uwezo wa kapambana na misukosuko ya ndoa, ukajifunza kuwa mvumilivu, si mwepesi wa hasira na mwenye kutumia busara kwenye maamuzi yako na si mtu wa kukurupuka kwenye maamuzi na mwenye njia, nia na mikakati ya kupambana na uchumi na kumudu kuitunza familia yako, huo ndiyo utakuwa umri sahihi wa kuoa.:A S embarassed:
Amani kwenu wadau. natumai wote mu wazima..nahitaji msaada ktk hili. Je muda
wa kuoa / kuingia kwenye ndoa ni upi?..na Je ni sahihi kuangalia kigezo cha umri
au kazi kabla ya kuamua kuingia kwenye ndoa?.
thanks wanajamvi, naomba kuwasilisha.
Kigezo kikuu kwa mtoto wa kiume ni pale anapobarehe tu, na kwa mtoto wa kike ni pale anapovunja ungo tu. Na suala la kazi nadhani ni open ended, unamaanisha kazi za ofisini, kilimo, umachinga au uosha magari? Nijuavyo mimi karibia watu wote wanafanya kazi.
Siku ya kwanza tu ulipofanya TENDO LA NDOA
Muda muafaka ni pale wewe unapoamini kuwa upo tayar kuhimili misukosuko na majukumu yote yanayohusiana na ndoa hiyo..Upo tayar kuwa mhimili wa familia..?..Suala la umri na kazi sio muhimu kwa kweli..kinacho matter ni kiasi gani mnapendana na utayar wenu kuishi pamoja kama mke na mume chini ya paa moja...