mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,102
- 36,073
Viongozi wa kanisa kama mlivyofanya kwa mchungaji Kimaro fanyeni na kwa mchungaji Wilbroad Mastahi wa kimara KKKT.
Huyu mchungaji anaonekana ana ushawishi na ni mpenda naendeleo, amepadilisha sana Kimara, sasa ni muda muafaka kutumia uzoefu wake wa kimara kuboost makanisa mengine.
Mpelekeni hata Mbagala au Gongo la Mboto huko wanahitaji watu aina yake.
Huyu mchungaji anaonekana ana ushawishi na ni mpenda naendeleo, amepadilisha sana Kimara, sasa ni muda muafaka kutumia uzoefu wake wa kimara kuboost makanisa mengine.
Mpelekeni hata Mbagala au Gongo la Mboto huko wanahitaji watu aina yake.