johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Mchungaji Mastahi wa KKKT Kimara amesema Kanisa lake kimefanya maendeleo makubwa ikiwemo kununua Ardhi kwa faida ya Kanisa.
Mchungaji Mastahi amesema wamenunua kaburi la bibi Mzungu kwa Tsh 40 million lililokuwa eneo la Kanisa pembeni ya hospital na kulihamisha kwa sababu huwezi kuweka hospital pembeni ya kaburi.
Pia Kanisa limenunua eneo lililotumiwa kama Bar na Danguro jirani na Kanisa.
Hizo ni sehemu ya Baraka itokanayo na Matoleo ya Waumini wa KKKT Kimara.
Nawatakia Dominica njema!
Mchungaji Mastahi amesema wamenunua kaburi la bibi Mzungu kwa Tsh 40 million lililokuwa eneo la Kanisa pembeni ya hospital na kulihamisha kwa sababu huwezi kuweka hospital pembeni ya kaburi.
Pia Kanisa limenunua eneo lililotumiwa kama Bar na Danguro jirani na Kanisa.
Hizo ni sehemu ya Baraka itokanayo na Matoleo ya Waumini wa KKKT Kimara.
Nawatakia Dominica njema!