MUAJI YA KINYAMA ARUSHA: Mwema, Nahodha na Kikwete Mjipime Kubakia Madarakani

wapendwa wanaJF na watanzania wenzangu wote,

nichukue fursa hii kutoa pole zangu za dhati kwa watanzania wote kwa msiba mkubwa uliolikumba taifa kutokana na mbinu dhaifu, zilizopotoka na mbaya za ulinzi zilizotumiwa na jeshi letu la polisi kwa maelelkezo ya viongozi wao na kusababisha maafa ya raia wema mkoani Arusha tarehe 5 January 2011 wakati wakitekeleza kwa vitendo haki yao ya msingi ya kukutana na kuandamana kwa mujibu wa katiba.

binafsi sikuwepo nchini wakati hayo yakiokea na nilifuatilia tukio zima kupitia mitandao ya internet. niseme tu kuwa najua hivi sasa marehemu wamekwishaagwa na kuzikwa huku wakipewa heshima wanayostahili na chama cha demokrasiaa maendeleo CHADEMA na wakazi wa Arusha na vitongoji vyake na hata miji jirani. ila nimesikitishwa sana na kutojitokeza kwa kiongozi yoyote wa serikali na wa chama cha mapinduzi kushiriki waziwazi kwenye msiba huo. kuna wakati inabidi hata mchawi mwenyewe kuhudhuria msiba kwani ni katika matukio kama hayo dhamira ya kweli ya umoja na undugu hudhirika.

pia nimeshangazwa sana na kitendo cha waziri mkuu kushindwa kutoa tamko lolote la serikali hadi wakati huu, si kwa uchaguzi wa meya wala wa machafuko yaliyosababisha umwagaji wa damu zisizo na hatia. halikadhalika sijasikia kauli thabiti ya wahusika kukemea na kukosoa jeshi la polisi kwa mashambulizi dhidi ya raia kwenye maandamano ya amani kwa kutumia risasi za moto. yote haya kwangu yanadhihirisha udhaifu wa uongozi na ulegevu katika kuchukua hatua madhubuti pale zinapohitajika.

nakumbuka wakati IGP mstaafu Omary Mahita aliposhutumu wabunge kujipendelea kwa mishahara na posho kubwa huku askari wake wakiwa an maissha na zana duni, haraka haraka aliomba radhi baada ya kubanwa na kamati ya bunge iliyokuwa chini ya mh Simpasa. binafsi nilichukizwa kuona askari akiomba radhi mwanasiasa, lakini kwa hili la arusha naamini itakuwa heshima viongozi wa jeshi hasa IGP mwenyewe akiwaomba radhi wanachi wote wa Tanzania kwa jeshi lake kushindwa kulinda usalama na badala yake kushambulia hata pale palipokuwa hakuna tishio lolote la kiusalama. hata kama ni kwa kupotoshwa na taarifa za kiintelijensia, bado anapaswa si tu kuwachukulia hatua waliompotosha, bali pia kuwajibika kwa kutoa maagizo yaliyopelekea maafa kwa raia wema na uharibifu wa mali.

kumhusu waziri nahodha, mie binafsi sijapata kufurahishwa na uongozi wake tangu alipokuwa waziri kiongozi huko zanzibar. ni kwamba sijajua vigezo vilivyotumika kumweka hapo alipo, lakini kwa hili la arusha na lile la zanziba wakati wote akiwa madarakani na kuhusika moja kwa moja na matukuio yote mawili, naye anapaswa si tu kuwajibika , bali kjichunguza kama kweli anaweza kuwa kongozi wa dhamana ya kiwango alichonacho na bado akawa ni wa kutumainiwa. tathmini hiyo yafaa pia kufanywa na rais kikwete na iwe ni dira ya kumuongoza katika kuteua wasidizi wake kwa siku zijazo.

mwisho niupongeze uongozi wa CHADEMA kwa kutoyumba katika kutetea kile wanachoamini na kuwapa heshima waliyostahili ndugu zetu wote waliotutoka. ni changamoto kama hizi ndio zimebadili sehemu nyingine za dunia na kuwa na demokrasia za kupigiwa mfano. aidha chama cha mapinduzi nacha chapaswa kujitafakari namna kinavyoendesha siasa zake hasa miongoni mwa watu wa tabaka za chini. nafikiri ni wakati muafaka sasa wa CCM kujihoji pia kama bado inamhitaji luteni makamba kuendelea kuwa katibu mkuu wake. matatizo kama haya yalihitaji umakini wa kiuongozo ili kuayepuka na hata watu wadogo kinafasi na kiwadhifa kama mary chatanda leo wasingekuwa wanjulikana kiasi hiki. kule kushindwa kutokea kwenye msiba, kunadhihirisha kuwa CCM na serikali yake wamewaachia CHADEMA msiba wao. hili ni kosa na hata kama hawataelewa leo, wataelewa kesho.

nimalizie tena kwa kutoa pole kwa wafiwa na majeruhi wote na kumuuomba Mwenyezi Mungu aziweke roho za marehemu mahali pema peponi. amina
HONGERA SANA DK.
walau umetofautiana na mnaemwita ''katibu''
 
Hongera Mbunge, isinge kuwa busara kwenda pale maana ndo wenyewe wamesababisha mauaji haya.
napingana na wewe Fidel nadhani ingekuwa Busara zaidi kama wengeudhulia kwani ulikuwa ni msiba wa taifa na wanasiasa ndo wamesababisha.
 
wapendwa wanaJF na watanzania wenzangu wote,

nichukue fursa hii kutoa pole zangu za dhati kwa watanzania wote kwa msiba mkubwa uliolikumba taifa kutokana na mbinu dhaifu, zilizopotoka na mbaya za ulinzi zilizotumiwa na jeshi letu la polisi kwa maelelkezo ya viongozi wao na kusababisha maafa ya raia wema mkoani Arusha tarehe 5 January 2011 wakati wakitekeleza kwa vitendo haki yao ya msingi ya kukutana na kuandamana kwa mujibu wa katiba.

binafsi sikuwepo nchini wakati hayo yakiokea na nilifuatilia tukio zima kupitia mitandao ya internet. niseme tu kuwa najua hivi sasa marehemu wamekwishaagwa na kuzikwa huku wakipewa heshima wanayostahili na chama cha demokrasiaa maendeleo CHADEMA na wakazi wa Arusha na vitongoji vyake na hata miji jirani. ila nimesikitishwa sana na kutojitokeza kwa kiongozi yoyote wa serikali na wa chama cha mapinduzi kushiriki waziwazi kwenye msiba huo. kuna wakati inabidi hata mchawi mwenyewe kuhudhuria msiba kwani ni katika matukio kama hayo dhamira ya kweli ya umoja na undugu hudhirika.

pia nimeshangazwa sana na kitendo cha waziri mkuu kushindwa kutoa tamko lolote la serikali hadi wakati huu, si kwa uchaguzi wa meya wala wa machafuko yaliyosababisha umwagaji wa damu zisizo na hatia. halikadhalika sijasikia kauli thabiti ya wahusika kukemea na kukosoa jeshi la polisi kwa mashambulizi dhidi ya raia kwenye maandamano ya amani kwa kutumia risasi za moto. yote haya kwangu yanadhihirisha udhaifu wa uongozi na ulegevu katika kuchukua hatua madhubuti pale zinapohitajika.

nakumbuka wakati IGP mstaafu Omary Mahita aliposhutumu wabunge kujipendelea kwa mishahara na posho kubwa huku askari wake wakiwa an maissha na zana duni, haraka haraka aliomba radhi baada ya kubanwa na kamati ya bunge iliyokuwa chini ya mh Simpasa. binafsi nilichukizwa kuona askari akiomba radhi mwanasiasa, lakini kwa hili la arusha naamini itakuwa heshima viongozi wa jeshi hasa IGP mwenyewe akiwaomba radhi wanachi wote wa Tanzania kwa jeshi lake kushindwa kulinda usalama na badala yake kushambulia hata pale palipokuwa hakuna tishio lolote la kiusalama. hata kama ni kwa kupotoshwa na taarifa za kiintelijensia, bado anapaswa si tu kuwachukulia hatua waliompotosha, bali pia kuwajibika kwa kutoa maagizo yaliyopelekea maafa kwa raia wema na uharibifu wa mali.

kumhusu waziri nahodha, mie binafsi sijapata kufurahishwa na uongozi wake tangu alipokuwa waziri kiongozi huko zanzibar. ni kwamba sijajua vigezo vilivyotumika kumweka hapo alipo, lakini kwa hili la arusha na lile la zanziba wakati wote akiwa madarakani na kuhusika moja kwa moja na matukuio yote mawili, naye anapaswa si tu kuwajibika , bali kjichunguza kama kweli anaweza kuwa kongozi wa dhamana ya kiwango alichonacho na bado akawa ni wa kutumainiwa. tathmini hiyo yafaa pia kufanywa na rais kikwete na iwe ni dira ya kumuongoza katika kuteua wasidizi wake kwa siku zijazo.

mwisho niupongeze uongozi wa CHADEMA kwa kutoyumba katika kutetea kile wanachoamini na kuwapa heshima waliyostahili ndugu zetu wote waliotutoka. ni changamoto kama hizi ndio zimebadili sehemu nyingine za dunia na kuwa na demokrasia za kupigiwa mfano. aidha chama cha mapinduzi nacha chapaswa kujitafakari namna kinavyoendesha siasa zake hasa miongoni mwa watu wa tabaka za chini. nafikiri ni wakati muafaka sasa wa CCM kujihoji pia kama bado inamhitaji luteni makamba kuendelea kuwa katibu mkuu wake. matatizo kama haya yalihitaji umakini wa kiuongozo ili kuayepuka na hata watu wadogo kinafasi na kiwadhifa kama mary chatanda leo wasingekuwa wanjulikana kiasi hiki. kule kushindwa kutokea kwenye msiba, kunadhihirisha kuwa CCM na serikali yake wamewaachia CHADEMA msiba wao. hili ni kosa na hata kama hawataelewa leo, wataelewa kesho.

nimalizie tena kwa kutoa pole kwa wafiwa na majeruhi wote na kumuuomba Mwenyezi Mungu aziweke roho za marehemu mahali pema peponi. amina
Mkuu Mbona haupewi uongozi wa juu wa CHAMA nadhani ni kati ya viongozi wenye busara sana HONGERA SANA MBUNGE.
 
wapendwa wanaJF na watanzania wenzangu wote,

nichukue fursa hii kutoa pole zangu za dhati kwa watanzania wote kwa msiba mkubwa uliolikumba taifa kutokana na mbinu dhaifu, zilizopotoka na mbaya za ulinzi zilizotumiwa na jeshi letu la polisi kwa maelelkezo ya viongozi wao na kusababisha maafa ya raia wema mkoani Arusha tarehe 5 January 2011 wakati wakitekeleza kwa vitendo haki yao ya msingi ya kukutana na kuandamana kwa mujibu wa katiba.

binafsi sikuwepo nchini wakati hayo yakiokea na nilifuatilia tukio zima kupitia mitandao ya internet. niseme tu kuwa najua hivi sasa marehemu wamekwishaagwa na kuzikwa huku wakipewa heshima wanayostahili na chama cha demokrasiaa maendeleo CHADEMA na wakazi wa Arusha na vitongoji vyake na hata miji jirani. ila nimesikitishwa sana na kutojitokeza kwa kiongozi yoyote wa serikali na wa chama cha mapinduzi kushiriki waziwazi kwenye msiba huo. kuna wakati inabidi hata mchawi mwenyewe kuhudhuria msiba kwani ni katika matukio kama hayo dhamira ya kweli ya umoja na undugu hudhirika.

pia nimeshangazwa sana na kitendo cha waziri mkuu kushindwa kutoa tamko lolote la serikali hadi wakati huu, si kwa uchaguzi wa meya wala wa machafuko yaliyosababisha umwagaji wa damu zisizo na hatia. halikadhalika sijasikia kauli thabiti ya wahusika kukemea na kukosoa jeshi la polisi kwa mashambulizi dhidi ya raia kwenye maandamano ya amani kwa kutumia risasi za moto. yote haya kwangu yanadhihirisha udhaifu wa uongozi na ulegevu katika kuchukua hatua madhubuti pale zinapohitajika.

nakumbuka wakati IGP mstaafu Omary Mahita aliposhutumu wabunge kujipendelea kwa mishahara na posho kubwa huku askari wake wakiwa an maissha na zana duni, haraka haraka aliomba radhi baada ya kubanwa na kamati ya bunge iliyokuwa chini ya mh Simpasa. binafsi nilichukizwa kuona askari akiomba radhi mwanasiasa, lakini kwa hili la arusha naamini itakuwa heshima viongozi wa jeshi hasa IGP mwenyewe akiwaomba radhi wanachi wote wa Tanzania kwa jeshi lake kushindwa kulinda usalama na badala yake kushambulia hata pale palipokuwa hakuna tishio lolote la kiusalama. hata kama ni kwa kupotoshwa na taarifa za kiintelijensia, bado anapaswa si tu kuwachukulia hatua waliompotosha, bali pia kuwajibika kwa kutoa maagizo yaliyopelekea maafa kwa raia wema na uharibifu wa mali.

kumhusu waziri nahodha, mie binafsi sijapata kufurahishwa na uongozi wake tangu alipokuwa waziri kiongozi huko zanzibar. ni kwamba sijajua vigezo vilivyotumika kumweka hapo alipo, lakini kwa hili la arusha na lile la zanziba wakati wote akiwa madarakani na kuhusika moja kwa moja na matukuio yote mawili, naye anapaswa si tu kuwajibika , bali kjichunguza kama kweli anaweza kuwa kongozi wa dhamana ya kiwango alichonacho na bado akawa ni wa kutumainiwa. tathmini hiyo yafaa pia kufanywa na rais kikwete na iwe ni dira ya kumuongoza katika kuteua wasidizi wake kwa siku zijazo.

mwisho niupongeze uongozi wa CHADEMA kwa kutoyumba katika kutetea kile wanachoamini na kuwapa heshima waliyostahili ndugu zetu wote waliotutoka. ni changamoto kama hizi ndio zimebadili sehemu nyingine za dunia na kuwa na demokrasia za kupigiwa mfano. aidha chama cha mapinduzi nacha chapaswa kujitafakari namna kinavyoendesha siasa zake hasa miongoni mwa watu wa tabaka za chini. nafikiri ni wakati muafaka sasa wa CCM kujihoji pia kama bado inamhitaji luteni makamba kuendelea kuwa katibu mkuu wake. matatizo kama haya yalihitaji umakini wa kiuongozo ili kuayepuka na hata watu wadogo kinafasi na kiwadhifa kama mary chatanda leo wasingekuwa wanjulikana kiasi hiki. kule kushindwa kutokea kwenye msiba, kunadhihirisha kuwa CCM na serikali yake wamewaachia CHADEMA msiba wao. hili ni kosa na hata kama hawataelewa leo, wataelewa kesho.

nimalizie tena kwa kutoa pole kwa wafiwa na majeruhi wote na kumuuomba Mwenyezi Mungu aziweke roho za marehemu mahali pema peponi. amina

Mkuu Mbunge wa CCM , umeongea maneno mazito, hasa kama wewe kweli ni mwana CCM kama mimi.
Kilichotokea Arusha ni aibu kwa Taifa kwa ujumla.
WaTanzania tumefikishwa hapo kwa uongozi ulio hafifu kufikiri.

Tukianzia kwa IGP na taaarifa zake za "intelligensia". Mtu mweye akili timau anajiuliza hizotaarifa alizokuwa nazo ni vyema sasa akaziweka hadharani ili tujue kama zilikuw na madhara mabaya kuliko mauaji yaliyotokea.
Na Je? wamekamata bunduki,silaha au marungu mangapi?
Hata ndani ya serikali hili lifanyiwe uchunguzi ili ipate kujiridhisha na umwagaji huu wa damu.
Ni aibu kwa uongozi ulioko madarakani kuua watu wake , watu inao wategemea kwa maendeleo.
Nahodha ni mgeni na siasa za huku bara , lakini hili limemtia doa ambalo halitafutika, ni yeye mwenyewe kujipima kisiasa na kujua la kufanya, inaelekea ametumiwa.
Juu ya Makamba, katika jamvi hili nilikwisha wahi kutoa mada kuwa huyu mkuu wa CCM ndilo kaburi la CCM, ataendelea kukumbatiwa mpaka chama kife kabisa.
 
167109_175117322524527_135719259797667_317209_3652943_n.jpg

Ndugu Mzito Kabwela, kwa kweeli kwa picha hii hapa umenitoneeeeesha kila kitu maonevu na ufisadi katika nchi yangu na kuonekana ***** hata katiba wanataka waniandikie juu ya jinsi gani kuendelea kuniongoza!!!!!!!!!!!!!!

Mungu wape faraja na amani wafiwa na majeruhi kimwili na wale waliopata kujeruhiwa kiakili kama nilivyo sasa hivi!
 
Uwezo Tunao! Hoja yako ni nzuri na inapaswa kuungwa mkono ingawa lazima utapambana na walevi humu ndani.
Bahati mbaya ulevi wao hata sio wa lubisi ama ulanzi maana tungekuwa na uhakika kwamba baada ya muda watarejea kwenye akili timilifu.

Juu ya kujiuzulu kwa viongozi uliowataja na kwa kuangalia historia yetu utamaduni huo aliondoka nao Mzee Ruksa aliyejiuzulu kiungwana. Wengine wote waliopata kuachia nafasi zao walifanya hivyo kwa shinikizo toka juu au la wananchi. Namaanisha huwezi kulinganisha kuachia ngazi kwa Chenge na kile alichokifanya Mzee Mwinyi.

Lakini katika orodha yako (Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Waziri Bora Utawala Mzee Tyson, Waziri Mambo ya Ndani Shamsi Vuai Nahodha, Waziri Serikali za Mitaa George Mkuchika, IGP Said Mwema, Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Meya wa CCM Arusha na Mama Chitanda) mimi nalia na wawili tu kwa sasa IGP Mwema na Vuai Nahodha.
Hawa wamepata kujionyesha huko nyuma kwamba ni waungwana na kama huwa wanapitisha macho hapa jamvini ningewasihi waachie ngazi kwa tukio la mauaji Arusha. Itawajenga zaidi kijamii na kuwafungulia milango siku za usoni. Watanzania watawasamehe kwa kujua kwamba walifanya uovu huo kutokana na shinikizo toka juu au nje ya mfumo wa kimaamuzi (ikulu ama CCM).

IGP alipochukua uongozi wa polisi alianza kurejesha imani ya wananchi kwa jeshi hilo (polisi jamii/ulinzi shirikishi), na ukweli ni kwamba ukimsikiliza unaona tofauti kubwa na alivyokuwa IGP Mahita.
Kwa upande wa Vuai Nahodha ni ukweli usiopingika kwamba Waunguja wengi wana hulka ya uungwana kwa namna fulani. Kwa msingi wa uungwana wao WALA WASIJIPIME NAFSI ZAO maana WATANZANIA WAMESHAWAPIMA KATIKA HILI NA WANASTAHILI KUJIUZULU.

Hao wengine uliowataja kwangu mimi ni kama mtoto aliyeshindikana kufunzwa wala hakubali maonyo ya wazazi, hao mimi nasema watafunzwa na ulimwengu.
 
Mhe Nahodha na IGP Mwema, habari ndio hiyo kulingana na Watanzania wenzenu tulivyowafanyieni TATHMINI BINAFSI tofauti hilo genge lingine ambalo hata agonge raia na kuwaia wote kwenye bajaji Masaki na wala haoni hatari kitu isipokua ni kuendelea mtindo mmoja kujikweza kwa uwezo wa fedha alizonazo na hulka ya kuwauliza sisi raia tuliomwajiri eti 'UNAJUA MIMI NI NANI KATIKA NCHI HII???'

Realman, viongozi wetu hawa kwa tabia zao za asili na silka zao naona wako kweli kiganjani mwako tu. Yote uliyoyasema sipingi hata kidogo hapa maana ni ukweli mtupu. Hata somo alioutoa Mzee Ruksa kwa kujiuzulu kwa hiari tu kumbe mle ndani ya CCM wala haikuingia hata mtu mmoja.
 
Mauaji ya raia sasa si Pemba, Unguja na Arusha. Sasa hivi polisi wameingia vijijini pia kwenda kuwaua wakulima huko Mbeya na Shinyanga pia. Na bado wengine bado wanazungumza amani.
 
wapendwa wanaJF na watanzania wenzangu wote,

nichukue fursa hii kutoa pole zangu za dhati kwa watanzania wote kwa msiba mkubwa uliolikumba taifa kutokana na mbinu dhaifu, zilizopotoka na mbaya za ulinzi zilizotumiwa na jeshi letu la polisi kwa maelelkezo ya viongozi wao na kusababisha maafa ya raia wema mkoani Arusha tarehe 5 January 2011 wakati wakitekeleza kwa vitendo haki yao ya msingi ya kukutana na kuandamana kwa mujibu wa katiba.

binafsi sikuwepo nchini wakati hayo yakiokea na nilifuatilia tukio zima kupitia mitandao ya internet. niseme tu kuwa najua hivi sasa marehemu wamekwishaagwa na kuzikwa huku wakipewa heshima wanayostahili na chama cha demokrasiaa maendeleo CHADEMA na wakazi wa Arusha na vitongoji vyake na hata miji jirani. ila nimesikitishwa sana na kutojitokeza kwa kiongozi yoyote wa serikali na wa chama cha mapinduzi kushiriki waziwazi kwenye msiba huo. kuna wakati inabidi hata mchawi mwenyewe kuhudhuria msiba kwani ni katika matukio kama hayo dhamira ya kweli ya umoja na undugu hudhirika.

pia nimeshangazwa sana na kitendo cha waziri mkuu kushindwa kutoa tamko lolote la serikali hadi wakati huu, si kwa uchaguzi wa meya wala wa machafuko yaliyosababisha umwagaji wa damu zisizo na hatia. halikadhalika sijasikia kauli thabiti ya wahusika kukemea na kukosoa jeshi la polisi kwa mashambulizi dhidi ya raia kwenye maandamano ya amani kwa kutumia risasi za moto. yote haya kwangu yanadhihirisha udhaifu wa uongozi na ulegevu katika kuchukua hatua madhubuti pale zinapohitajika.

nakumbuka wakati IGP mstaafu Omary Mahita aliposhutumu wabunge kujipendelea kwa mishahara na posho kubwa huku askari wake wakiwa an maissha na zana duni, haraka haraka aliomba radhi baada ya kubanwa na kamati ya bunge iliyokuwa chini ya mh Simpasa. binafsi nilichukizwa kuona askari akiomba radhi mwanasiasa, lakini kwa hili la arusha naamini itakuwa heshima viongozi wa jeshi hasa IGP mwenyewe akiwaomba radhi wanachi wote wa Tanzania kwa jeshi lake kushindwa kulinda usalama na badala yake kushambulia hata pale palipokuwa hakuna tishio lolote la kiusalama. hata kama ni kwa kupotoshwa na taarifa za kiintelijensia, bado anapaswa si tu kuwachukulia hatua waliompotosha, bali pia kuwajibika kwa kutoa maagizo yaliyopelekea maafa kwa raia wema na uharibifu wa mali.

kumhusu waziri nahodha, mie binafsi sijapata kufurahishwa na uongozi wake tangu alipokuwa waziri kiongozi huko zanzibar. ni kwamba sijajua vigezo vilivyotumika kumweka hapo alipo, lakini kwa hili la arusha na lile la zanziba wakati wote akiwa madarakani na kuhusika moja kwa moja na matukuio yote mawili, naye anapaswa si tu kuwajibika , bali kjichunguza kama kweli anaweza kuwa kongozi wa dhamana ya kiwango alichonacho na bado akawa ni wa kutumainiwa. tathmini hiyo yafaa pia kufanywa na rais kikwete na iwe ni dira ya kumuongoza katika kuteua wasidizi wake kwa siku zijazo.

mwisho niupongeze uongozi wa CHADEMA kwa kutoyumba katika kutetea kile wanachoamini na kuwapa heshima waliyostahili ndugu zetu wote waliotutoka. ni changamoto kama hizi ndio zimebadili sehemu nyingine za dunia na kuwa na demokrasia za kupigiwa mfano. aidha chama cha mapinduzi nacha chapaswa kujitafakari namna kinavyoendesha siasa zake hasa miongoni mwa watu wa tabaka za chini. nafikiri ni wakati muafaka sasa wa CCM kujihoji pia kama bado inamhitaji luteni makamba kuendelea kuwa katibu mkuu wake. matatizo kama haya yalihitaji umakini wa kiuongozo ili kuayepuka na hata watu wadogo kinafasi na kiwadhifa kama mary chatanda leo wasingekuwa wanjulikana kiasi hiki. kule kushindwa kutokea kwenye msiba, kunadhihirisha kuwa CCM na serikali yake wamewaachia CHADEMA msiba wao. hili ni kosa na hata kama hawataelewa leo, wataelewa kesho.

nimalizie tena kwa kutoa pole kwa wafiwa na majeruhi wote na kumuuomba Mwenyezi Mungu aziweke roho za marehemu mahali pema peponi. amina

kuhusu uteuzi wa nahodha, nakuunga mkono mia kwa mia. uteuzi wa huyu bwana naona ni sehemu ya yale mambo ya kupeana vyeo ili kuponya majeraha ya uchaguzi manake alijeruhiwa sana na uchaguzi huko visiwani. otherwize sioni kwa nini aliletwa huku bara, kwanza haamini kama huku bara ni kwao na pili ni mwakilishi wa mwanakwerekwe huko unguja, bora angebaki kuhudumia watu wake anaowawakilisha huko kuliko kuleta udhaifu wa kiuongozi huku.
 
Mbunge wa CCM, huu ni uungwana kwako binafsi kwa namna ya hali ya juu. Wengi pale serikalini walishindwa kabisa hili japo si kitu cha kuhitaji kununuliwa dukani.

Kumwaga damu ya raia wa nchi yako eti unakomoa chama cha upinzani ni jambo ambalo halivumiliki hata kidogo.
 
Miss Judith, wizara zetu nyingi tu kumewekwa tu Misukule na ndiyo maana viliyo vyetu na kero kila kona hakupungui.
 
TUMEKUWA KAMA KUKU......TUNATAZAMA KWA JICHO MOJA HALI TUNAYO MAWILI........tuangalie na upande wa wananchi/raia/chadema....walichokifanya ni sahihi...? NA YULE MKE WA MKE WA MTU ALIYEJIPAKA TOMATO SOSI NI HAKI...?
 
Miss Judith, wizara zetu nyingi tu kumewekwa tu Misukule na ndiyo maana viliyo vyetu na kero kila kona hakupungui.

kwa kweli siasa zetu hizi za kugawa dhamana nzitonzito za uongozi kwa incompetent people ili kuponya majeraha ya uchaguzi, sijui lini tutafika!
 
TUMEKUWA KAMA KUKU......TUNATAZAMA KWA JICHO MOJA HALI TUNAYO MAWILI........tuangalie na upande wa wananchi/raia/chadema....walichokifanya ni sahihi...? NA YULE MKE WA MKE WA MTU ALIYEJIPAKA TOMATO SOSI NI HAKI...?

hahah, ilikuwa tomato sosi ile? makubwa haya!
 
sitaki kuamini kwamba watanzania katika kutekeleza sehemu ya haki yao kudai mabadiliko ya kweli ndio sasa ndugu nancy tweed uwaone kuwa ni wahuni!!! Nadhani utakua umechanganya mada hapa au uko baa.

ni vigumu sana kuwatenganisha viongozi wa dini na maouvu ya viongozi wa serikali. Atamfundisha vipi aliyeporwa kiwanja kwa mfano? Aliyelala njaa kwa ukosefu wa chakula wakati kuna watu wanafanya ubadhirifu, kama kuna voingozi wa dola wanaua raia mbele ya nyumba za ibada, ?

Kwa kifupi kwa mtu makini lazima afurahie kwamba viongozi wa dini wanayohaki ya kukemea, kuelekeza na kuonya ikiwa ni pamoja kuchukua.

Tutaendelea kudai polisi waliofyatua risasi kumwaga damu ya ndugu zetu wafikishwe kwenye mkondo wa sheria for murder case ili pia nao wawataje waliowatuma.

Hivyo mkwere, nahodha, igp -katili, na andnyenge wafukuzwe kwa nguvu ya umma-maanake wasipoachia tutaamini wazi mkulu ndiye alitaka kulipiza kisasi.
 
Back
Top Bottom