Entreprenegro
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 601
- 132
Haaa stuka luvvy wewe inawezekana sio ndugu hao mjin hapa kalaghabao....
Si mumeo wa ndoa huyu??? Yaani hata ndugu zake wa karibu huwajui......hata kamayuko nje si ni lazima uambiwe shangaz MwaJ ana mtoto yuko Uk ndo mkubwa wa Shabani yule alokuwaga anakuja kukuita kwenu mi nikiwa nakusubiri pale chini ya mti.......eboo hebu jikaze mtoto wa kike
Mmmh......how strong are you in sex anyway; kwa mwanzo huu wa automatic reflex and the alarms are all on wewe unakusanya kusanya nguvu isijekuwa ndo sababu ya mumeo kuhaha nje......yaani majibu yako ni soooo spineless .
Kweli ni mke wa ndoa au unatupandisha munkari wa shari bure tu hapa......????
Unajua tofauti ya mke, kimada, fiancee na girlfriend?????................