FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,069
- 40,732
1) Mtu anakopa pesa mtandano kisha anaandika namba yako kama mtu wake wa karibu bila ridhaa yako
2) Anaposhindwa kulipa, wale waliomkopesha wanaanza kukupigia simu eti uwasaidie kumfikishia taarifa kwamba alipe deni
3) Baada ya hapo anaposhindwa kulipa deni, eti wanatishia kukuchukulia hatua z akisheria wewe kama mdhamini.
Sasa najiuliza, hawa watu wamechanganyikiwa? Wakati anakopa sikushirikishwa wala kuambiwa lolote, ila ghafla bin vuu unaitwa mdhamini, hivi kuwa na ukaribu na mtu inamaanisha automatically weww ni mdhamini, hii imekaaje kaaje? 😂😂🤣🤣🤣
===========================
Hapo kwenye brown wanakiri kabisa kwamba wanakupa usumbufu kwa makusudi kabisa kwa jambo hambalo hukushirikishwa, hii itakuwa ni point nzuri sana kwenye judicial proceedings.
Sasa mimi nataka nikope elfu 10 halafu niweke namba ya Nape Nnauye kama mdhamini, maana ninayo, halafu silipi, na yeye aanze kufaidi matunda ya sheria zake...
2) Anaposhindwa kulipa, wale waliomkopesha wanaanza kukupigia simu eti uwasaidie kumfikishia taarifa kwamba alipe deni
3) Baada ya hapo anaposhindwa kulipa deni, eti wanatishia kukuchukulia hatua z akisheria wewe kama mdhamini.
Sasa najiuliza, hawa watu wamechanganyikiwa? Wakati anakopa sikushirikishwa wala kuambiwa lolote, ila ghafla bin vuu unaitwa mdhamini, hivi kuwa na ukaribu na mtu inamaanisha automatically weww ni mdhamini, hii imekaaje kaaje? 😂😂🤣🤣🤣
===========================
Hapo kwenye brown wanakiri kabisa kwamba wanakupa usumbufu kwa makusudi kabisa kwa jambo hambalo hukushirikishwa, hii itakuwa ni point nzuri sana kwenye judicial proceedings.
Sasa mimi nataka nikope elfu 10 halafu niweke namba ya Nape Nnauye kama mdhamini, maana ninayo, halafu silipi, na yeye aanze kufaidi matunda ya sheria zake...