marehem x
JF-Expert Member
- Dec 28, 2022
- 515
- 786
Jamani hii dunia Ina mengi. Hujafa hujaumbika, ukiwa juu Leo kesho unaweza kushuka chini.
Unaweza ukawa na cheo Leo,kesho ukamaamuma(backbencher) , uwezo sio jambo la univunia ni kushukuru na kuwa moderate.
Nirejee kwangu, Sina kipato kikuuubwa Sana. Na Wala sikiwa na kipato kidichi, ni moderate kabisa. Hali imebadilika ghafla, mambo yamekuwa tofauti kabisa. Kwa utanguliz huu wakuu wangu Jf he mtu, anaweza akapigwa juju mambo yake yakasimama? Tiba kuu pamoja(kisuna) na Dua kwa mungu. Msaada wenu.
Unaweza ukawa na cheo Leo,kesho ukamaamuma(backbencher) , uwezo sio jambo la univunia ni kushukuru na kuwa moderate.
Nirejee kwangu, Sina kipato kikuuubwa Sana. Na Wala sikiwa na kipato kidichi, ni moderate kabisa. Hali imebadilika ghafla, mambo yamekuwa tofauti kabisa. Kwa utanguliz huu wakuu wangu Jf he mtu, anaweza akapigwa juju mambo yake yakasimama? Tiba kuu pamoja(kisuna) na Dua kwa mungu. Msaada wenu.