sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,486
- Thread starter
- #21
Au mkewe ni kama NANDERA atamuwasha maswali, umeagaje ofsini, mafuta ya kuja si bora ungekula huko, mchana hapa hapapikwi kihivyooo!!!!!
basi ni dhahiri ukiwa na wake wengi unagawanya upendo hatimae unagawa woote wanapikiwa wengine coz umezoeleka huli nyumbani.
Last edited by a moderator: