New City
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 2,585
- 3,209
Shukrani mkuu, we must learn to live together as brothers and sisters to flourish or as a FOOLS to perish.Anajivunia nani??!!!
Neno ugaidi inategemea uko upande gani na tafsiri yako inaegemea paradigm gani juu ya matumizi yake. . . . .ingawa sikubaliani na (ugaidi??!!!)
Hebu msome (Machiaveli???!!) juu ya retaliation. . . . .
Habari hiyo inataka jicho la tatu kuielewa maana ina maswali na.mafundisho mengi sana haswa kwa wewe "uneyuogopa" ugaid kiasi hutaki kufikiri. . . .
1. Wanapata wapi mafunzo??!!
2. Wanachaguliwa lini, wapi na kwa vigezo gani maana wanaovuma ni "watu" haswa. . .!!!
3. Link zilizopo kati ya makundi hayo ya "kigaid" na backbone yao. .
4. Je ni kweli wana uhusiano na vikosi fulani fulani vya ulinzi katika nchi fulani fulani mathalani umesoma hapo drug dealer nchini X ni informer wa force Z nchini G . . . . wakati nchini G unga hauruhusiwi. . . ."sabotage" hiyo ni accidental au planned and sustained project?!!
Mi nadhani badala ya kuwa na chuki zinazo "curb" akili anza kutazama ugaid kama mfumo mpana sana