Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,724
- 66,221
Nifah, nyinyi mumeumbwa kwasababu yetu. Ukiona hadi idara ya usalama imeamua kutumia mwanamke basi jua huyo mtu alishindikana kpatikana kwa njia nyingine. Hata mke anaweza kushilikishwa katika kusaidia mumewe akamatwe ila itategemea huyo mwanmke ana upendo wa kiasi gani na je anayachukuliaje hayo anayoyafanya mumewe.
Kweli kabisa kama huyo jamaa Imad Munghniyah alikua mtata sana hata yule aliyemuua mdogo wake pia.Lakini ajabu ni kua Imad alifanikiwa kumkamata adui yake kwa kutumia trick ya wanawake na pombe naye kauawa kwa trick hiyohiyo!
Hapo kwa mke kushirikishwa katika kusaidia mumewe akamatwe ni mwanamke mpumbavu peke yake anayeweza kufanya hivyo.