Mtu aliyesoma shahada ya sanaa na elimu je? Anaweza kufanya kazi gani nje ya ualimu

Duh wanaume humu ndani mmenikumbusha mbali sana,those days.

Anyway,sijuhi huyu jamaa kama aliweza kupata hata msaada wa jibu la swali lake,waliosoma programu hiyo as long as we ni m-Tz siku hizi hata taasisi nyingi za umma kama uhamiaji,zimamoto n.k naona wanarecruit kwahiyo jitahidini kujaribu bahati zenu huko pia mwisho wa siku kikubwa ni kujuana sahivi, wala digrii fulani haimaanishi ni lazima ukafanye kazi hiyo,usiwe na mkono mfupi ili watu wale pesa yako na wewe upewe kazi ufanye maisha

Log off!
 
mbona ualimu raha sana ni kazi ambayo haina ubize kama mimi natoka saa nane na nusu napata mda mzuri wa kupiga mishe likizo zipo kibao baada ya miaka mitatu napanda daraja huoni kuwa ni raha sana jumamoc na jumapili tuko free hadi raha hizo siku utaenda shamba mungu akupe nini tena.kuwa bankteller ufanye kazi mpaka saa nne mshahara wenyewe hatutofautiani nakushauri nenda kafundishe mimi nina degree lakini nafundisha shule ya kata naipenda sana hii kazi.
 
Watu ambao walsoma course kwa mkumbo ndo mnaopata pressure nakuandka pumba,hiv leo graduate unajisifia kushnda unahesab hela za watu ebu weka mshahara unaoupata hapo nmb pamoja nakupinda mgongo kote.Mie mwl lakn najua tkiktana utani
taman.
w
 
Mwenye BA.Ed anauwanja mpana wa ajira kama alsoma optional courses visit adverts zakaz na omba acha kulia bado unamihemko ya chuon
 
Nipeni mfano wa graduate ya 3yrz alie gvnt mwenye salary kumzd mwl graduate au watu mnaongea hata salary scales za gvnt hamzijui.
 
hakuna m2 anae mdharau kwa kusoma hyo k2 bt c 2nashangaa kwamba,inakuaje m2 umekaa chuon for 3yrz afu hujui direction ya k2 unachokisomea hadi uanze kuhangaika kuulzia wa2.

Wakuu, msaada kwenye tuta! Ninaomba kusaidiwa anachomaanisha huyu Great Thinker, tafadhali!

Natanguliza shukrani zangu za dhati!
 
[h=2]Mtu aliyesoma shahada ya sanaa na elimu je? Anaweza kufanya kazi gani nje ya ualimu[/h]
Jamani nauliza hivi mtu aliyesoma shahada ya sanaa na elimu je? anaweza kufanya kazi gani nje ya kufundisha

[h=2]Mtu aliyesoma shahada ya sanaa na elimu je? Anaweza kufanya kazi gani nje ya ualimu[/h]Tafsiri ya swali: "Mtu aliyesomea Shahada ya Sanaa na Elimu, je, anaweza kuajiriwa kwenye Ajira gani mbali na Ajira ya Ualimu?"

Mkuu, hapo zamani za kale, niliwahi kusoma Kitabu kimoja ambacho bahati mbaya sikikumbuki Jina. Ni miongo mingi zana iliyopita. Kwenye Kitabu hicho, ambacho kwa bahati mbaya pia kilikuwa kimeandikwa kwa lugha ya Kiingereza, nilisoma sentensi ifuatayo: "The prime purpose of Education is to widen one's scope of thinking".

Mantiki ya Sentensi hiyo nikiitafakari kwa mtazamo swali lako, jibu langu na mchango wangu ni rahisi sana: "Fursa za Ajira, mbali za Ajira ya Ualimu, kwa Mtu aliyesomea Shahada ya Sanaa na Elimu, ni lukuki!"

Kuokoa muda, naomba nirudie Wito ambao umekuwa ukitolewa kila kukicha - Vijana, na Wazee, someni ili mjiajiri wenyewe!

Elimu ya Shahada ya Sanaa na Elimu ni Mtaji tosha kabisa wa wewe kijiajiri kwenye Sekta yoyote utakayotaka. Cha msingi ni wewe kufanya maamuzi na kudiriki!
 
jamani msinichukulie ka mimkosaji ila nini ninachomaanisha ni kwamba mtoa mada ameuliza swali nikajibu kwamba si lazima ukisoma Baed ndo utakuwa mwalim na kwamba unaweza fanya kazi yeyote.
Kuhusu swali lako mkuu ni kwamba sela za nchi yetu ni mbovu ili kujiakikishia unapata mkopo chuoni ni lazima usome education,science au kilimo sasa watu wengi nikiwemo mimi nilikumbwa na uu mkumbo wa kuingia education ilihali siipendi ivo watu walinipa moyo kwamba soma tu na utapata kazi nyingine na ndivo nilivofanya lakini leo nashangaa wana jf kunibwatukia kwa kuacha professional yangu hadi naonekana kama mi mkosaji.mlichotakiwa kujiuliza ni kwanini nimeamua kufanya kazi hii na hata kama ni kama mnailinganisha na u ps au ya watu wa form 4 kipato hakilingani na ualimu.naombeni mnielewe ndugu zangu.

lazima ufurahie kuwa bank teller maana kwa uandishi wako hata ualimu ungepata tabu sana kufundisha inaonyesha uwezo wako ni mdogo na ndo maana ulienda kusomea ualimu as ur last option tena private institution
 
issue kujiajiri epusha usumbufu...japo una weza fanya kazi kwenye mataasisi mengi🙌
 
Bachelor of Science with Education(BSC.ED) au Bachelor of Arts with Education (BAED) inamwezesha mhitimu kuwa na utaalamu ambao ualimu ni nyongeza tu, wapo BED arts Bachelor of Education arts huyu ni Mwalimu wa masomo ya arts while BED science (Bachelor of Education science.) huyu ni mwalimu wa masomo ya sayansi.
Umenyanyambua vizuri mno
 
Jamani nauliza hivi mtu aliyesoma shahada ya sanaa na elimu je? anaweza kufanya kazi gani nje ya kufundisha
Mkuuu nakusalimu sana mkuuu
Naomba kujikita kwenye hoja .
Mkuu zipo kazi nyingi sana lkn naweza kutoa baadhi tuu kwa kujua kwemba wanajamvi wataongeza pia
Hizi zote nimekujibu kulingana na kwamba uzi wako unasema umesomea elimu katika tasnia ya Sanaaa mkuuu
1.Kuchonga vinyagooo mkuuu
Maana vinyagoo ni sanaaa tena ile ya asili mkuuuu.
2.Kucheza Ngoma za Asili.
3.kuimba mziki maana hiyo ni sanaaa pia mkuu.
4.Kupika vyakula vyaa asili au kufundisha watu mapishi ya asili.
5.kufundisha Ususi na nyingine kedekede mkuuu za kisaniii
Karibu wanajamvii.

Naomba kuwasilisha
 
Back
Top Bottom