Huyo si askari jamani, oooh watoto wake ni askari kumbe, sasa utamtongazaje huyo? lazima na wewe uwe na bunduki mbili ile kama ya FFU wetu na ile kama ya kwangu
Sasa naanza kuona kwamba jamii forum, tu,eanza kutokuwa watu makini wa kutafakali hoja...Watoto wa Mh Rais Kagame na udictator limetoka wapi. Rwanda ni nchi ya Tatu Africa kuwa na UCHUMI BORA AFRICA ULIONDOA YA KWANZA 1.South Africa 2.Mauritius 3. Rwanda ya tatu usiniulize Tz ni ya ngapi.
Nijuavyo hawa watoto wako shule, na wanakuja tu likizo na kujiunga na JKT yao UMUGANDO....sisi tutabaki kulaumu na kucheza pool na bao saa za kazi....!! amka ujitume na uwe na Nguvu ya hoja. KEEP IT UP MH;KAGAME
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.