Hvi jaman kipi bora kwny ndoa kati ya kukaa na mtoto alyezaa nje mumeo au mtoto akakae kwa mama ake thn mumeo akapeleka huduma?[/QU? TE]
Kama kweli mume akikiri na mkaamua kukaa na mtoto bila ya mume kurudi rudi kule kwa mama yake, bora hili la kukaa na mtoto na umlee kama wako kabisaaaaaaaaaaaaaa, hila kina mama huwa tunaweza kweli? Maana kama mtoto akikaa kule kwa mama yakwe baba akiwa anapeleka matumizi mmhh!!! mama mtoto anaweza akamtega tena kwa namna nyingine baba akayakmubuka yale mautamu! kwa hiyo akataka wayarudiee!! Kwa upande wangu nikiletewa mtoto kama kweli baba atakiri kuachana na mama yake naona ni nafuu kuliko baba kurudi rudi kule!!! Na kwa kweli nitajitahidi kujmlea kama wangu. Watoto baadaye wanakuaga watamu kweli ukiwalea vizuri, sijui labda kwa kuwa mimi napenda sana watoto jamani!!! Na huwa nawaona kama hawana hatia yoyote kwa sababu kitendo huwa ni baba na mama mtoto ni matokeo ya tendo la baba na mama.