Restitius Respicius
New Member
- Jul 6, 2020
- 1
- 9
1. Usimwambie mtu yeyote jinsi mwenzi wako alivyo dhaifu. Mtu anaweza kutumia hilo dhidi yako/ao.
2. Usiwaambie watu jinsi mnavyogombana na mwenzi wako, wawaone mmekamilika kutoka nje wakati mnatatua mambo ndani.
3. Hata rafiki wa karibu usimwambie pesa ngapi unapata pesa kiasi hani kutoka kwa mumeo, ikiwa watakuuliza, waambie anatoa zaidi ya ulivyotarajia.
4. Wanaume, msiwaambie marafiki zenu jinsi mkeo anavyokuwa mzuri kitandani, hiyo ni siri kati yako na mkeo.
5. Kamwe usimwambie mama yako jinsi mwenzi wako anavyoenenda katika ndoa, hutapenda matokeo ikiwa ni mama mkwe mwenye wivu.
6. Wanawake, rafiki anaweza kuwa anamtamani mumeo kwa hiyo usimwambie chochote kuhusu mumeo wanaweza kuvutiwa nae zaidi yako na ukamkosa.
7. Hata kama ni kiongozi wa dini hafai kujua mara ngapi mnagombana na mumeo, wengi wao watatumia kama mahubiri. Zungumza na Mungu pekee.
8. Usimwambie watoto kwamba baba/mama yao ni mtu mbaya. Inaweza kuwafanya wawachukie.
9. Usiwaambie watu kuhusu makosa ya zamani ya mwenzi wako, ni hatari sana kwa ndoa yako.
10. Usiwaambie watu wajaribu kumshawishi mwenzi wako ili kuthibitisha uaminifu wao. Wanaweza kumshinda kwa mapenzi. Kuzuia ni bora kuliko kutibu.
Darasa limekwisha
2. Usiwaambie watu jinsi mnavyogombana na mwenzi wako, wawaone mmekamilika kutoka nje wakati mnatatua mambo ndani.
3. Hata rafiki wa karibu usimwambie pesa ngapi unapata pesa kiasi hani kutoka kwa mumeo, ikiwa watakuuliza, waambie anatoa zaidi ya ulivyotarajia.
4. Wanaume, msiwaambie marafiki zenu jinsi mkeo anavyokuwa mzuri kitandani, hiyo ni siri kati yako na mkeo.
5. Kamwe usimwambie mama yako jinsi mwenzi wako anavyoenenda katika ndoa, hutapenda matokeo ikiwa ni mama mkwe mwenye wivu.
6. Wanawake, rafiki anaweza kuwa anamtamani mumeo kwa hiyo usimwambie chochote kuhusu mumeo wanaweza kuvutiwa nae zaidi yako na ukamkosa.
7. Hata kama ni kiongozi wa dini hafai kujua mara ngapi mnagombana na mumeo, wengi wao watatumia kama mahubiri. Zungumza na Mungu pekee.
8. Usimwambie watoto kwamba baba/mama yao ni mtu mbaya. Inaweza kuwafanya wawachukie.
9. Usiwaambie watu kuhusu makosa ya zamani ya mwenzi wako, ni hatari sana kwa ndoa yako.
10. Usiwaambie watu wajaribu kumshawishi mwenzi wako ili kuthibitisha uaminifu wao. Wanaweza kumshinda kwa mapenzi. Kuzuia ni bora kuliko kutibu.
Darasa limekwisha