Mnamfahamu Ngeleja nyie?
Ni mtu flani anahasira hasira sana c mnakumbuka ishu ya mlinz alietaka kumnasa vibao?!
Mi namfahamu kitambo, nakumbuka enzi zile akirudi likizo alikuwa anachapa kazi sana hom kwao alikuwa anaamka saa11 na gunia la mbolea kichwani kwajl ya shamba lake la pamba na alichapa kaz frm hiyo saa11 alfajl mpaka ngoma 3 usiku bila kula!
Lakn maskn jaman mtoto huyu wa mkulima kabadlshwa nas mafsadi anapelekwa ka kidagaa!
Oftenly huwa namshauri apige chini mzgo aendelee na carrier yake ya uanasheria coz ilkuwa inamlipa vzr enz zle akiwa crdb,voda.
Mara kibao nimekuwa nikiongea na mkewe Brandy amshauri mumewe aachane na siasa za majitaka lakn nahc anakomaa kwa shnikzo!
Sie Wanasengerema we trusted him at first na ndo maana tukamchagua atuwakilishe lakn uwaklsh sasa haupo zaid ya kuumiza bchwa na project za kisiasa et mirad ya umeme ya mpaka miaka 5 ndo either Watz tutaondokana na tatzo la umeme or not!
Wakat huo viwanda vnafungwa watu hawazalishi, hosptal hazioparate kisa umeme hakuna n.k
Kiukweli napenda tu nidclare interest ya kumung'oa kupitia CDM the year 2015 plz nipeni support zenu na ninaamini ntamung'oa.
Ni hayo tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.