Mtoto wa "Mtoto wa Mkulima"

Tulipigania uhuru kuondoa aina zote za matabaka na unyonyaji katika jamii ya watanzania hasa hasa weusi ambao ndio wengi na wako tabaka la chini. Leo hii weusi wachache wamerudisha matabaka na unyonyaji ule ule uliopngwa wakati wa ukoloni.
Vita dhidi ya matabaka na unyonyaji kwa wakati huu inahitaji nguvu kubwa kuliko hata wakati wa ukoloni kwani maadui ni wenzetu!
 
Enzi zetu wakati tuna soma hizo level watoto wengi wa wakubwa walikuwa wanaonekana kukosa maadili na hata kushindwa kuendelea na masomo kutokana na poor performance. Naona mafisadi/watawala wamevumbua njia ya kupunguza competition na kutengeneza a kind of a cartel kwenye education....Technically hata kama mtoto wa common citizen anamzidi wa fisadi kwa IQ then kwasababu ya environment basi lazima wa fisadi amzidi yule wa common man. So hii eventually ndo ina hakikishia usalama (monopoly) wa ajira (lucrative/white colour) na uongozi top positions wa hao watoto wa makabaila. Lakini impact yake kwenye integrity ya nchi ni kubwa kuliko faida ya hao individuals kwani hii itasababisha kukosa watu wenye capacity inayotakiwa katika innovation kwani pamoja na training ambayo ni basics IQ ni muhimu.....Ndiyo maana kwa wenzetu walioendelea hawafanyi mchezo kwenye issue inayotokana na capabilities, mtu akiona fulani ni mzuri kwenye jambo fulani basi aweza hata kumfinance yeye ampatie training inayohitajika na kumwacha mtoto wake anayemwona yuko weak kwenye hiyo area..
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom