black hawk87
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 678
- 1,243
Enz ya mzee wetu tulikaa Sana hapo na yule mgombea flan tukipanga mipango ya kurud kule jij jipya
What!?Dogo anagonga ruzuku za mafala
Whoa whoa hold on please!!Wajinga ndio mliwao.....ruzuku inapigwa
Dingi alijiharibia mapema, mtoto nae ameona agongelee msumari😀😀😀😀, Wapiga kura Wana observe tu... welcome October 😉Naye anakosea..kipindi Hiki kigumu Sana....anaharibu taswira ya dingi
Sometimes mungu tunambebesha mizigo siyo, Sasa mungu ampe wepesi wa kufanya nini!?,Pole kijana Dudley.
Pole Freeman kwa mitihani unayopitia.......Mungu akupe wepesi!
Hela za rusuku ya chadema hizoYaani unatoa Dola 500! Aisee! Tz hii hii..
haha erthrocytes namjua anaishi chumba kimoja cha kupanga Tandika. Kodi elfu 20 kwa mwezi, hiyo milioni ya kiingilio huku yatch ataitoa wapi@Erthrocyte ana maisha mazuri kukuzidi mkuu...kubali.hali yako
Kwahiyo mtu akiwa mboga saba ndo awe fala wakulewa mpaka anapiga kichwa chini?Heri anaekunywa pombe kwa hela yake,huyo anajua mboga 7 kabla hajazaliwa.
Wewe shida na dhiki ndio makuzi uliyokulia
Mmiliki ni Nani? Nikija dar na Mimi nitajiunga
California love
Hapo Dar Yatch Club ukishangaa kiingilio kuna watu wanamiliki boat ndogo za bei mbaya.
Kuna watu wanafanya matusi kuna boti ya mtoto wa Bakhresa kaweka Sound System ya Usd 10,000.
Kuna member mule wana boti za bei chafu.
Mkuu una bahati sana na mods..Mwenyekiti wenu anaechizi kwao,yani chizi kabisa hata yeye uropokaji wake ni mulemule iko siku atatembea kavaa taulo
Dudley Mbowe, mtoto wa kiume wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman A. Mbowe amelazwa chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) katika Hospital ya Aga Khan, Dar es Salaam baada ya kuumia vibaya kichwani.
Kijana huyo jana alifanyiwa operesheni ya kichwa na inaelezwa hali yake ni mbaya.
Sababu za kulazwa kwa Dudley inaelezwa kuwa ni baada ya kuanguka na kukigonga kichwa chake vibaya wakati akiwa Yatch Club, iliyoko Leopard’s Cove, Msasani Bay jijini Dar es Salaam.
Club hiyo ni sehemu ya starehe ambayo inaruhusu wanachama tu kuingia na kustarehe. Gharama ya kuwa mwanachama ni dola 500 (zaidi ya Sh milioni 1) inayolipwa kila mwaka. Kiasi hiki hakihusishi gharama za vinywaji, vyakula, boti za kifahari na huduma nyingine za kiwango cha kimataifa.
Hili linakuja ikiwa ni siku chache tangu Freeman Mbowe adaiwe kuumizwa na kuvunjwa mguu akiwa jijini Dodoma ambapo baadaye alihamishiwa Hospitali ya Aga Khan ya jijini Dar.
Chanzo: Mtoto wa Mbowe aanguka, alazwa ICU
Duh!Mwenyekiti wenu anaechizi kwao,yani chizi kabisa hata yeye uropokaji wake ni mulemule iko siku atatembea kavaa taulo
Kwa comment yako, ukizeeka ww ni kikagula wa hatari!Maji hufuata mkondo. Mbowe kamrithisha ulevi mwanae.
Kigagula maana yake ni nini ?Kwa comment yako, ukizeeka ww ni kikagula wa hatari!
Sent from my E6833 using JamiiForums mobile app
Mwanamke chukua JUU.Kigagula maana yake ni nini ?
Acha uongo Did you do your reach?au umekurupukaDudley Mbowe, mtoto wa kiume wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman A. Mbowe amelazwa chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) katika Hospital ya Aga Khan, Dar es Salaam baada ya kuumia vibaya kichwani.
Kijana huyo jana alifanyiwa operesheni ya kichwa na inaelezwa hali yake ni mbaya.
Sababu za kulazwa kwa Dudley inaelezwa kuwa ni baada ya kuanguka na kukigonga kichwa chake vibaya wakati akiwa Yatch Club, iliyoko Leopard’s Cove, Msasani Bay jijini Dar es Salaam.
Club hiyo ni sehemu ya starehe ambayo inaruhusu wanachama tu kuingia na kustarehe. Gharama ya kuwa mwanachama ni dola 500 (zaidi ya Sh milioni 1) inayolipwa kila mwaka. Kiasi hiki hakihusishi gharama za vinywaji, vyakula, boti za kifahari na huduma nyingine za kiwango cha kimataifa.
Hili linakuja ikiwa ni siku chache tangu Freeman Mbowe adaiwe kuumizwa na kuvunjwa mguu akiwa jijini Dodoma ambapo baadaye alihamishiwa Hospitali ya Aga Khan ya jijini Dar.
Chanzo: Mtoto wa Mbowe aanguka, alazwa ICU