WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Mtoto mwenye uwezo wa kuuliza swali hili anaweza kuambiwa ukweli. Stop insulting children's intelligence by making up some concoctions.The truth is simpler and need no further lies to protect.
Unamwambia tu maumbile ya binadamu yamekuwa kwamba mtu mke na mtu mume wakikutana kuna wakati yai linanawiri tumboni kwa mama na baadaye linakuwa mtoto, akiulizia sana kuhusu "kukutana" huku unampa according to his/ her age kama mdogo sana unamwambia mengine utafundishwa wakati ukifika.
Siku hizi with TV and all watoto wanajua kuliko tunavyofikiri.
Pundit,
You are right.. watoto wa siku hizi are not dumb or stupid.Ukimdanganya na huku yeye anajua au ataambiwa kwingine.. will never trust you again!
Big mistake parents.