Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
(Padri);Haya anza kuungama. (Mtoto)hambi ya kwanza;NILIUA!>> (Padri):Eenh!subiri kwanza,ulimuua nani?,kuwa huru mtoto,hautashtakiwa kwani hapa upo mbele ya MUNGU na atakusamehe buree. (Mtoto);Okay,kila siku alikuwa anatoka kwao anakuja kwetu kula mahindi,nikaamua kumuua yule mbuzi halafu nikamtupia chooni kisirisiri.