Shelisheli
Senior Member
- May 13, 2011
- 178
- 27
pole wewe usieona mantiki katika utonywaji huu. Watu tunazidiana uwelewa. Sema kitu basi, usiishie kusewa 'pole sana '!mkuu unamwamini sana huyo mtonyaji wako ..? pole sana
pole wewe usieona mantiki katika utonywaji huu. Watu tunazidiana uwelewa. Sema kitu basi, usiishie kusewa 'pole sana '!mkuu unamwamini sana huyo mtonyaji wako ..? pole sana
Kama siyo hawa makamanda wa ukweli pengine leo story ingekuwa tofauti kabisa. Chadema ikiingia madarakani na kubadilisha maisha ya watz hawa nao wajue kuwa mchango wao wa kiprofession ulikuwa mkubwa sana. ktk siasa tukio moja linaweza kubadilisha kila kitu.
yeh mazee wa majani alinena hiloYamefika mwisho kwa madhalimu wahenga walisema "you can fool some people sometime but you can't fool all the people all the time.
Mkuu ubarikiwe kwa hili. sikioni kitufe cha like ila ww jua kuwa nimelike post yako.Kuna amri halali imetolewa na hii itazidi kuwasumbua sana.....Nature yote iko against utawala wa serikali hii na chama chake.....
Watazidi kushangaa miaka hii kwanini kila mbinu yao inakuwa exposed!
Mwisho wa siku watapiga magoti na kukiri kwa ndimi zao hakuna anayezidi asili ya uumbaji!
Kama Jua lina tawala mchana na mwezi usiku kama wana vuta oxygen ya Mungu ya bure na wanakula mazao yaliyonyeshewa na mvua inayotoka angani basi wa elewe this time hakuna atakaye peleka pua yake Ikulu kama ni fisadi!
The best is yet to come! Every now and then greater miracle than the previous: kama Jesus alivyofanya alianza na kugeuza maji kuwa wine (great miracle) wakasema labda aliweka chemicals; Next time akatuliza mawimbi ya bahari (greater miracle) wakasema labda ni coincidence mwisho akaamua kutembea juu ya maji kama vile nchi kavu (greatest miracle)...yaani hapo akawa amekamilisha changes kuanzia composition (chemistry) gravity (movements) na mwisho (physical) form ndipo wakaamua kumuua napo akatokezea katika utukufu mkuu zaidi ya ule wa kwanza! Na tangu hapo hakuna wakumgusa tena He is more than a Conqueror....Akatuambia na sisi mm nakwenda zangu sasa nyie hakuna la kuwatisha!
M4C is more than a conqueror un-touchable !
kunamitanzania mingine imerogwa na ccm, jana nimesafiri safari ndefu Zenji hadi Kahama,huku kunamijitu inasema chadema ndo wamemuua muandishi
Mkuu, Aweda ahsante sana kwa uzi huu. Tunazidi kupigia mistari yale tuliohisi tokea mwanzo. Mungu awe nasi daima, awe na M4C ili mikakati ya shetani na nguvu zake zishindwe. Na hatimaye watanzania tufunguliwe.