jamiif
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 2,413
- 990
duh, bibi lesbian au??dunia kwishney!!!!!
Kwa wale wadada wanaopenda kuacha sehemu ya matiti wazi baada ya kuyatunisha!
leo ndani ya daladala moja ruti ya Kariakoo-Mwenge kupitia Sinza, napanda hili gari maeneo ya shekilango pale,
mara anaingia mdada anakaa siti usawa wa mlango,ile siti ni ya watu wawili anaogopa kusogea ukutani kwa sababu anazojua yeye,
mara anaingia mbibi mtu mzima yuko mlangoni anamwambia sogea tukae, binti anatoa miguu pembeni kama dalili ya kumpisha bibi apite akalie siti ya ukutani, cha ajabu bibi badala ya kupita anaanza kupapasa matiti ya huyu binti huku akisema "unafanya show ya matiti" actually yule binti anahamaki na kukasirika sana!
swali je kutunisha matiti na kuacha sehemu ya juu wazi ni makosa?
tukio kama hili linawezakuchukuliwa kama udhalilishaji?
au huyu bibi alikuwa na mambo yake?