Nimesoma kwenye Mwananchi Paper kuwa Mtikila atamshitaki Hussein Mwinyi, Shimbo, Mwamunyange kama hawatajiuzulu, pia JK atashtakiwa kama hatawafukuza kazi.
Pia zinatakiwa Million 50 kwa sababu ni kesi nzito. Ameomba michango, jamani tuchangie hata buku 10 kila mtu aliyeguswa.
Pia Mtikila amesema tutumie nguvu ya umma kama Misri, tunisia.
Naomba mtu mwenye mawasiliano na Mtikila amshauri atupe namba ya akaunti, ZAP au Tigo pesa tuchangie kwa ajili ya kesi
Pia zinatakiwa Million 50 kwa sababu ni kesi nzito. Ameomba michango, jamani tuchangie hata buku 10 kila mtu aliyeguswa.
Pia Mtikila amesema tutumie nguvu ya umma kama Misri, tunisia.
Naomba mtu mwenye mawasiliano na Mtikila amshauri atupe namba ya akaunti, ZAP au Tigo pesa tuchangie kwa ajili ya kesi