Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
- Thread starter
- #81
Mbu... Umejichongea mwenyewe rafiki.... Umemdefine kwa Mlimbwende.... that means akuvutia in one way or another and you do appreciate urembo wake.... (as a man); For ungemchukulia kawa ungesema nimepewa zawadi na mdada.....lol... Wala mie simo Lakini... Vipi ushapata Utatuzi?
Kongosho... Reading between the lines... Mbu is so ready kumpa kimwana zawadi, anaomba tu ushari ili atoe zawadi perfectooo...lol
...halafu dada'ngu wewe wajua kwenye kesi za usuluhishi nakutegemea?...hebu mswalie mtume bana,
soulmate hapendi.