MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Hahahahahah lol! basi mie nikadhani unabeba mwiko ukaanzishe varangati dhidi ya la aziz....maana ile "nakuja" imekaa kishari shari lol!
Hapana mie mpole sana na mwelewa, alishaweka wazi simu yake ni yake, marufuku prying! Sasa na hii zawadi aloleta nyumbani kwetu sasa nayo pia imepigwa ribiti!! Nitadeal naye baadae ngoja kwanza tutatue la zawadi. Lol
Mbu baby, mie sidhani kama unahitajiumiza kichwa katika hili. Mtafutie zawadi yoyote iliyo ndani ya uwezo wako. Ila tu zingatia ujumbe utakaowezabebeka ndani yake! Kama ni mtu ambaye hufikirii kumdate basi peleka zawadi yenye userious flani mf. Pen hahahaha hapana nadhan umeelewa, but kama una matarajio flan basi wawezaimntroduce topic through zawadi. ... Lingerie za Ivuga zinahusika hapa!