o_2
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 348
- 287
Rejea kichwa habari hapo juu.
Tukiwa tunasubiria Sekeseke la 'kupiga pepa' tufaulu ndio tuajiriwe hebu tupeane dondoo za hapa na pale.
Pepa' itakuaje na labda itakuwa ni content based kwendana na somo au itakuwa teaching methodology.
Au tusikilizie tu liwalo na liwe?
Tukiwa tunasubiria Sekeseke la 'kupiga pepa' tufaulu ndio tuajiriwe hebu tupeane dondoo za hapa na pale.
Pepa' itakuaje na labda itakuwa ni content based kwendana na somo au itakuwa teaching methodology.
Au tusikilizie tu liwalo na liwe?