Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,831
Mzee wa Kibajaji ana kipaji cha matusi ile mbaya
Ina Maana CCM wakimuweka William Malecela na yoyote wa Chadema Mtera Chadema kitashida
Nilimuona Malecela kwenye East Africa Bungeni hawezi kujenga Hoja hata kidogo
livinstone lusinde ndiye mbunge wetu wa mtera ww huwezi tusemea wapiga kura wake tunamgguutaji na tutampa, hatukubaliani na kuigawa nchi kimajimbo au nchi ya meru jitengeni tu tuacheni na amani yetu ya iringa mtayajua sasa kwani lusinde naye allitokea upinzani aliyaona
- Sema lugha inakupiga chenga maaana hatujenga hoja kiswahili ulichokizoea, otherwise Lusinde ni product ya Chadema tuoneeni huruma wananchi wengine na haya makelele ya kila siku, kule Arumeru mlikutana na your own medicine!
- Lusinde alianzia Chadema!
William.
Umeanza ndogondogo kupiga chapu ya kipega vuvuzela akupishe? Utapambana na magwanda we utayaweza?
LUSINDE hakuanzia Chadema. Alianzia UDP. Malecela acha kupotosha hilo, baba yako ameshindwa mwenyewe uchaguzi kwa sababu ya mambo yake ya siri ambayo Lusinde anayajua.
- Angalau unakubali kwamba Lusinde ni product yenu Chadema, mimi ni mbunge wangu na a good friend sana!
William.
Mkuu Willium,ningependa kukushauri, mara zote,uwe una stick katika mada.
Uwezo wako wa kujenga hoja umehojiwa ....wewe ulitakiwa kuonesha kuwa jamaa anakusingizia!
Badala yake unaingiza mambo ya CHADEMA!
Kwa nini?